Chagua CHADEMA upate Demokrasia na maendeleo Mtaani kwako

Chagua CHADEMA upate Demokrasia na maendeleo Mtaani kwako

Chama ambacho kimeoza, kinaongozwa ki-ukoo ukoo zaidi, Tanzania hatuwezi kukubali kuendelea kwenye ubaguzi wa kikanda au kikabila, mwenye macho haambiwi tazama.
 
Kwa taarifa yako watanzania tunaojitambua hakuna atakayejitokeza kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Chini ya awamu hii ya tano box la kura ni sehemu ya kuonea ujinga wa mtu mweusi. Kutaka kudhibitisha watu wanajitambua, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo kupata kutokea.
Sasa mbona Huyo sky anasema watu waichague cdm wakati wengine mnasema hakuna atakaejitokeza kushiriki uchaguzi.
Mbona Hamna kauli moja inayofanana.
 
Uko sahihi sana kwamba cdm hawapendi kuambiwa ukweli, je unaweza kutuonyesha ni uzi upo ulipandisha kuwaambia ccm mapungufu yao wakifurahia hayo mapungufu uliyowaambia? Kama ni cdm tu wanachukia kuambiwa mapungufu yao, bungeni uliopitwa na kamati ya maadili walienda kukupongeza kwa ukweli uliowaambia?
Watu makini, wanapojikwaa na kuanguka, hawaishii tuu kuamka, kujikunguta kujifuta vumbi, kuangalia walipoangukia, na kuendelea na safari yao, watu makini hawaangalii walipoangukia, bali hugeuka nyuma kuangalia walipojikwaa.

Angalia tarehe ya bandiko hili, kisha some kwenye bandiko nilisema nini kuhusu CCM, kisha nikasema nini kuhusu Chadema, halafu angalia CCM walifanya nini na Chadema walifanya nini.






CCM pia sikuwaacha





P
 
Sasa mbona Huyo sky anasema watu waichague cdm wakati wengine mnasema hakuna atakaejitokeza kushiriki uchaguzi.
Mbona Hamna kauli moja inayofanana.
Hii inaitwa inconsistency. Ukiwaambia wanakasirika.
P
 
Chama ambacho kimeoza, kinaongozwa ki-ukoo ukoo zaidi, Tanzania hatuwezi kukubali kuendelea kwenye ubaguzi wa kikanda au kikabila, mwenye macho haambiwi tazama.

Ni mawazo mgando kujua upinzani Ni chadema pekee wapo Cuf, AcT, Na wengine..

Figisu za huu uchaguzi mdogo Ni fundisho kwa vyama ivyo vya upinzani kuelekea ktk uchaguzi mkuu..

Kushindwa kujiandikisha/ au kususia sio sababu ya wapinzani kutetereka, muda bado upo. Inatakiwa kuwepo Uhuru wa mikutano, majukwaa na midahalo ya kisiasa ambayo italeta changamoto na hoja za maendeleo, ushauri, na mawazo mbadala hiyo ndio demokrasia ya kweli...

Upinzani wa kisiasa sio dhambi.
 
Ni mawazo mgando kujua upinzani Ni chadema pekee wapo Cuf, AcT, Na wengine..

Figisu za huu uchaguzi mdogo Ni fundisho kwa vyama ivyo vya upinzani kuelekea ktk uchaguzi mkuu..

Kushindwa kujiandikisha/ au kususia sio sababu ya wapinzani kutetereka, muda bado upo. Inatakiwa kuwepo Uhuru wa mikutano, majukwaa na midahalo ya kisiasa ambayo italeta changamoto na hoja za maendeleo, ushauri, na mawazo mabadala hiyo ndio demokrasia ya kweli...

Upinzani wa kisiasa sio dhambi.

Ndio chama kikubwa pinzani vingine yama vya mfukoni au kwenye flash. Je, unataka na hivyo tuviite vyama kweli? yaani unakuta Agenda yao kubwa kuandika issues zinazopelekea Tanzania kuwa koloni la mataifa makubwa. Tusiwe na uhuru wa kujiamualia mambo yetu kama taifa.
 
Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.

Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli

Asante tena kwa uhamasishaji huu.

P

Mkuu. Huwa sielewi nia yako Wakati mwingine. Unasema mshindi tayari ok. Naweza kukubaliana na wewe. Why. Huyu Unayemsifia ndo wale wapinga watu kujiandikisha. Leo anaomba kura. Nani apige kura hiyo. Kuna vichwa mpaka nashindwa elewa huko Tz taarabu itaisha lini na kazi zitaanza lini.
 
It doesn't matter watajitokeza wangapi, kwasababu matokeo hayatokani na votes casted but the votes counted, na sikuzote, zisipotosha, zinatosheshwa, at the end of the day, the end result justifies the means and the winner takes it all and the loser standing small, watu wanahamasishwa wasijitokeze, CCM inapata ushindi wa kishindo wa asilimia 99.9%, halafu nyie ndio wa kwanza kulalamika kuwa the election was not free and fair.
P
Kwa kiasi kikubwa uko sahihi, lakini vigezo vya free and fair election viko Vingi hivi kama kutoa tu fomu watendaji wanafunga ofisi, uchaguzi unakuwaje free and fair?
 
Sasa mbona Huyo sky anasema watu waichague cdm wakati wengine mnasema hakuna atakaejitokeza kushiriki uchaguzi.
Mbona Hamna kauli moja inayofanana.

Sisi sio timu useme tuna msemaji wetu, hili ni jukwaa huru kila mtu anaweza kuchangia apendacho, sisi tulioamua kwamba hatutapiga kura ni mpaka hapo itakapopatikana tume huru, ama mazingira ya kuridhisha kupiga kura msimamo wetu uko pale pale. Kuoana mawazo na mitazamo kwenye baadhi ya mambo haimaanishi tunakubaliana kwenye kila jambo au tunalazimika kukubaliana kwa kila jambo. Yeye kama anaamini kwenye box la kura aendelee kuamini hiyo ni haki yake, lakini sisi wengine hilo ni zoezi haramu kama haramu nyingine na hatuyumbi kwenye hilo. Hata aseme kiongozi yoyote wa cdm, ccm, dini nk, bado msimamo mwetu ni dhabiti kwa kutoshiriki ushenzi unaoitwa uchaguzi kwenye awamu hii ya tano hilo halitawezekana.
 
Hii inaitwa inconsistency. Ukiwaambia wanakasirika.
P

Labda mwenye hiyo incosistancy iko kwenye huyo mleta uzi, sisi wengine hatubadiliki kwenye msimamo wetu maana tuna sababu za msingi wa kutoshiriki huo ushenzi. Tena nimemshamngaa mleta uzi kama nilivyomshangaa Mbowe kusema atashiriki uchaguzi huu, huku akiwa amegoma kushiriki chaguzi nyingi na wakati bado mazingira ni yale yale.

Ni bora viongozi wa upinzani kwa sasa wakajikita kwenye kuhamisisha tume huru ya uchaguzi na sio kuendelea kuzipa uhalali chaguzi hizi za uhuni wa kitoto.Hapo ndio madai yangu ya kwamba muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm umekwisha, ni vyema akampisha mtu mwingine kiroho safi aendelee na matakwa ya umma.

Nilipendekeza viongozi wa upinzani kususia uchaguzi huu na kutangaza kutoshiriki uchaguzi wowote kuanzia sasa, mpaka ipatikane tume huru ya uchaguzi, na ikifika mwaka kesho kuanzia mwezi machi watangaze maandamano ya amani kila mwanzo wa mwezi au mwisho, kwa kuanzia maandamano hayo yafamywe na viongozi tu, baadae wakashirikisha wananchi. Iwapo hakutakuwa na muafaka, ifikapo wiki ya mwisho ya uchaguzi kuwe na maandamano wiki nzima wangalau masaa 6 kila siku. Faida za maandamano haya itakuwa ni kutoa uhalali wa madai yao, uchaguzi utakuwa na picha mbaya kimataifa, na viongozi watakaopatikana watakuwa wamepatikana kwa mchakato haramu, na hawatakuwa na confidence kwani watakuwa wanatawala watu wasio na imani na madaraka yao. Kubwa kuliko yote, joto hilo halitampa Magufuli nguvu ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi, kwani atakuwa ameingia madarakani kwa kipindi cha mwisho kwa uchaguzi uliosusiwa na watu wengi. Hali hiyo itaaicha Tanzania na picha mbaya kimataifa na itajikuta na wakati mgumu huku tukiwa na jamii iliyogawika.
 
Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.

Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli

Asante tena kwa uhamasishaji huu.

P
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya dola kutawala.
 
Kwa taarifa yako watanzania tunaojitambua hakuna atakayejitokeza kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Chini ya awamu hii ya tano box la kura ni sehemu ya kuonea ujinga wa mtu mweusi. Kutaka kudhibitisha watu wanajitambua, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo kupata kutokea.
Alafu utaanzisha uzi mmeibiwa kura..dah, mbowe anawainjoi sana.
 
Siku hizi ukiwa mpinzani unaonekana wewe ni zaidi ya shetani huku mitaani, ndio maana hata kuvaa magwanda watu wanaona aibu
 
Alafu utaanzisha uzi mmeibiwa kura..dah, mbowe anawainjoi sana.

Yaani ni mpaka tungoje uchaguzi ndio tuanzishe uzi wa wizi wa kura? Hiyo tu kupika idadi ya wapiga kura na huu uhuni wa kipuuzi unaoendelea hivi sasa ni jibu tosha la wizi huo.
 
Paskali mwanzo wa jamii forums ulikuwa kijana smart kilichokukumba nini njaa ama nini maanake afadhali ya le mutuz ana nafuu peleka njaa zako.
Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.

Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli

Asante tena kwa uhamasishaji huu.

P
 
Back
Top Bottom