Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa lets wait and see.Mkuu siongelei watanzania wengine bali naongelea hawa hawa wenye utii wa kondoo.
Sasa mbona Huyo sky anasema watu waichague cdm wakati wengine mnasema hakuna atakaejitokeza kushiriki uchaguzi.Kwa taarifa yako watanzania tunaojitambua hakuna atakayejitokeza kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Chini ya awamu hii ya tano box la kura ni sehemu ya kuonea ujinga wa mtu mweusi. Kutaka kudhibitisha watu wanajitambua, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo kupata kutokea.
Watu makini, wanapojikwaa na kuanguka, hawaishii tuu kuamka, kujikunguta kujifuta vumbi, kuangalia walipoangukia, na kuendelea na safari yao, watu makini hawaangalii walipoangukia, bali hugeuka nyuma kuangalia walipojikwaa.Uko sahihi sana kwamba cdm hawapendi kuambiwa ukweli, je unaweza kutuonyesha ni uzi upo ulipandisha kuwaambia ccm mapungufu yao wakifurahia hayo mapungufu uliyowaambia? Kama ni cdm tu wanachukia kuambiwa mapungufu yao, bungeni uliopitwa na kamati ya maadili walienda kukupongeza kwa ukweli uliowaambia?
Hii inaitwa inconsistency. Ukiwaambia wanakasirika.Sasa mbona Huyo sky anasema watu waichague cdm wakati wengine mnasema hakuna atakaejitokeza kushiriki uchaguzi.
Mbona Hamna kauli moja inayofanana.
Chama ambacho kimeoza, kinaongozwa ki-ukoo ukoo zaidi, Tanzania hatuwezi kukubali kuendelea kwenye ubaguzi wa kikanda au kikabila, mwenye macho haambiwi tazama.
Ni mawazo mgando kujua upinzani Ni chadema pekee wapo Cuf, AcT, Na wengine..
Figisu za huu uchaguzi mdogo Ni fundisho kwa vyama ivyo vya upinzani kuelekea ktk uchaguzi mkuu..
Kushindwa kujiandikisha/ au kususia sio sababu ya wapinzani kutetereka, muda bado upo. Inatakiwa kuwepo Uhuru wa mikutano, majukwaa na midahalo ya kisiasa ambayo italeta changamoto na hoja za maendeleo, ushauri, na mawazo mabadala hiyo ndio demokrasia ya kweli...
Upinzani wa kisiasa sio dhambi.
Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.
Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli
Asante tena kwa uhamasishaji huu.
P
Kwa kiasi kikubwa uko sahihi, lakini vigezo vya free and fair election viko Vingi hivi kama kutoa tu fomu watendaji wanafunga ofisi, uchaguzi unakuwaje free and fair?It doesn't matter watajitokeza wangapi, kwasababu matokeo hayatokani na votes casted but the votes counted, na sikuzote, zisipotosha, zinatosheshwa, at the end of the day, the end result justifies the means and the winner takes it all and the loser standing small, watu wanahamasishwa wasijitokeze, CCM inapata ushindi wa kishindo wa asilimia 99.9%, halafu nyie ndio wa kwanza kulalamika kuwa the election was not free and fair.
P
Sasa mbona Huyo sky anasema watu waichague cdm wakati wengine mnasema hakuna atakaejitokeza kushiriki uchaguzi.
Mbona Hamna kauli moja inayofanana.
Hii inaitwa inconsistency. Ukiwaambia wanakasirika.
P
CCM ndiyo imekufa sasa kuna genge la kigaidi linalotumia mabavu ya dola kutawala.Hiki chama kilikufa kitambo ,wanaogopa hata kugombea wanaona aibu
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya dola kutawala.Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.
Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli
Asante tena kwa uhamasishaji huu.
P
Alafu utaanzisha uzi mmeibiwa kura..dah, mbowe anawainjoi sana.Kwa taarifa yako watanzania tunaojitambua hakuna atakayejitokeza kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Chini ya awamu hii ya tano box la kura ni sehemu ya kuonea ujinga wa mtu mweusi. Kutaka kudhibitisha watu wanajitambua, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo kupata kutokea.
Alafu utaanzisha uzi mmeibiwa kura..dah, mbowe anawainjoi sana.
Asante Mkuu Sky Eclat kwa uhamasishaji huu, kwa bahati nzuri sana, Watanzania wa sasa, wameisha amka kutoka, usingizini, sio watu tena wa kupelekwa pele kwa kufuata tuu mkumbo, wameishajua wanataka nini kwa maendeleo yao, na wanajua watamchagua nani anayeweza kuwaletea maendeleo.
Hata hivyo pamoja na kujua, ukweli kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mshindi ameisha julikana, uchaguzi ni wa kukamilisha tuu taratibu, lakini bado uhamasishaji kama huu ni muhimu sana kwa sababu angalau mtaambulia ambulia tujikura tuchache, twa kuhalalisha kwa wafadhili wetu Tanzania tuna demokrasia, na kuwa ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki wa kidemokrasia, uliokuwa na ushindani wa kweli
Asante tena kwa uhamasishaji huu.
P
AsantePaskali mwanzo wa jamii forums ulikuwa kijana smart kilichokukumba nini njaa ama nini maanake afadhali ya le mutuz ana nafuu peleka njaa zako.