Chahali: Madini yanatoroshwa kwa kasi ya kutisha


Aache kulia lia,alikesha kwenye mitandao kumtukana magufuli, leo anaongea kitu gani?
 
So chief ukifanikiwq kuchezesha mchongo ukatiki ndo inakua umetusua hivo sio...
NB sina b wala che sekta ya madini sijui kitu mkuu ila nikiskia watu wanatorosha madini mahusigi tu wanapiga hela ndefu sana

So chief ukifanikiwq kuchezesha mchongo ukatiki ndo inakua umetusua hivo sio...
NB sina b wala che sekta ya madini sijui kitu mkuu ila nikiskia watu wanatorosha madini mahusigi tu wanapiga hela ndefu sana
Yeah ukifanikisha unakua mchongo especially kama yana uzito na purity nzuri mfano una at least Kg 1 na purity kuanzia 90%,ingawa kwenye kilo moja ukiweka ujanja ujanja unakua umekwepa kama 7M kwenye mrabaha kitu ambacho naona kama we n mzalendo sio cha kukwepa unalipa unaendelea na kaz kwa uhuru....Kwenye Vito (Gemstones) huko ndo kuna mabalaa
 
Huyo ndio aliweka watu wake kule wanashindana kuiba, Sasa mama anaenda kuwapiga chini wote then mje humu sukuma gang muanze kulialia!
Wakaiba halafu kwenye takwimu za dunia wazungu wakaonyesha jinsi madini yetu yalivyopanda au sio?
So wote waendelee kuiba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Ame
Amewekeza wapi hizo pesa zake tukagawane?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe ashamuonjesha Kagame raha ya utajiri wa nchi hii, Mtandao waliouasisi wa kupiga madini yetu hauwezi kuisha kirahisi. Hii ni syndicate yenye nguvu sana. Mama aonyeshe uzalendo kwa kufanya jambo huko. kwenye madini
Uswahiba wao ulikuwa wa wapi Kama hata hakuwahi kurejea bongo tangu pale mwanzo na hata hakuja mzika?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mjuze ajue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utakuwa yule askari aliyekuwa akijibishana na Magufuli pale butimba.
 
Uswahiba wao ulikuwa wa wapi Kama hata hakuwahi kurejea bongo tangu pale mwanzo na hata hakuja mzika?



Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka aje kumzika kitengo wamshughulikie?
Inasemwa kuwa alichikichia mpunga mrefu wa madini aliopiga na Jiwe. Ilibidi kwanza aresolve issue kabla ya kutia mguu kwenye ardhi ya bongo.
Naamini bi mkubwa alipoenda rwanda walitafuta muafaka
 
Si mlitaka wanajeshi wawe wanasimamia.haya.yote ni makosa ya mwendazake.
Bora wanajeshi wapiga dili walikua wanataka jwtz ndio akasimamie hana ujuzi hana equipments hapo simnalizwa mpk basi nyie hamjui tu ugumu ulioko huku watu wanaibaa mpk wanaiba tena na afadhali kwa meendazske kulipungua kiasi!
 
Bora wanajeshi wapiga dili walikua wanataka jwtz ndio akasimamie hana ujuzi hana equipments hapo simnalizwa mpk basi nyie hamjui tu ugumu ulioko huku watu wanaibaa mpk wanaiba tena na afadhali kwa meendazske kulipungua kiasi!
Mkuu.
Mpigadili akiiba ni lahisi kumuonya au hatabkumtoa kabisa.
Ila mjeshi akiiba kumuondoa lazia ujipange na ni ngumu.

Kumuweka mwanajeshi kwenye usimamamiz wa mali za uma unatakuwa upate wazalendo wa kweli.lasivyo utajuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…