newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,385
- 568
Mkuu NewMzalendo; KANYAGIO alishatoa ratiba labda kama utakuwa na mapendekezo zaidi
Nami nitashiriki. Hayo ndo maendeleo. Napendekeza yafuatayo agendani:
1. Kulima mashamba kwa pamoja sehemu moja mfano kila mtu ekari 50. watu 50 watapata huduma vizuri na kutafuta soko kwa pamoja baada ya kuchagua zao. Yaani tuuze kabla hatujalima. Hii itawasaidiwa wasio na muda wa kwenda shamba. Tutawalimia kwani dhana na miundombinu kwa pamoja ni rahisi.
2. Tufanye kilimo biashara, yaani mazao yetu yatengenezwe, mfao, unga, juisi, au mafuta ya alizeti.
3. Wana JF Tuwe soko la kwanza. Kabla hatujaingia soko la tanzania au la afrika mashariki tuuziane na kununuliana kwanza sisi kwa sisi
wakubwa nimefanya update kwenye original post. so naomba usome hapo juu upate update!!!
Nyu Bi Bo Mbiiiii kabisa aluuu.... :clap2:....kibarua kinabana, muda haueleweki....hamna uwezekanano mtu kuhudhuria siku hiyo hata kama haja-confirm?!:twitch:MKUTANO WA KUJADILI FURSA KATIKA KILIMO TAREHE 5 FEBRUARI 2011 SAA 8 KAMILI MCHANA LUNCH TIME HOTEL
wakuu wa JF, heshima zenu!! nachukua nafasi hii kuwafahamisha kuwa baada ya kujadili kwa kina masuala ya kilimo na ufugaji kupitia hapa JF (hasa kupitia thread yaTujiunge na kuanzisha JAMII FARM na nyinginezo tumeona ni vema tufanye mkutano maalum kujadili masuala ya uwekezaji katika kilimo na ufugaji. Madhumuni ya mkutano huu ni kubadilishana taarifa na uzoefu katika uwekezaji katika sekta ya kilimo na ufugaji. aidha itakuwa ni kikao muafaka katika kupeana taarifa mbalimbali za fursa katika kilimo na ufugaji. Huu utakuwa ni mwendelezo wa mkutano tuliofanya mwaka jana.
mkutano huu tarehe 5 Februari 2011 jijini Dar es salaam pale LUNCH TIME HOTEL kuanzia saa 8.00 kamili mchana. Gharama ya kushiriki ni 15,000/= kwa kila mtu (ukumbi na refreshments)
mpaka sasa waliothibitisha kushiriki ni wafuatao:
- KANYAGIO
- MALILA
- TITO
- MGOMBEZI
- ELNINO
- KASOPA
- KASOPA FRIEND NO. 1
- KASOPA FRIEND NO. 2
- ZAHOR SALIM
- NEW MZALENDO
- TGS D
- REALTOR
- MASAKI
- STREET SMART
- LEN
- BABALAO
- THE INVESTOR
- MASIKINI JEURI
- SABI SANDA
- DORISVETY
- CARMEL
- RAMTHODS
- BENNET (wa mitiki blog)
- GAMAHA
- AMBASSADOR
- KIBANANHUKHU
nafasi bado zipo, mategemeo yetu ni kuwa na watu takribani 35 kwa hiyo nafasi bado zipo!!!
Ratiba imeambatanishwa
ukiwa na swali usisiste kuuliza
"PAMOJA TUNAWEZA"
Nyu Bi Bo Mbiiiii kabisa aluuu.... :clap2:....kibarua kinabana, muda haueleweki....hamna uwezekanano mtu kuhudhuria siku hiyo hata kama haja-confirm?!:twitch:
wakubwa nimefanya update kwenye original post. so naomba usome hapo juu upate update!!!
Kanyagio,
Nimeku-pm tangu saa nane mchana niki-confirm ushiriki but sijioni kwenye list (Malila shahidi yangu).
Pamoja sana!
Ebwana huyo kanyagio inabidi amuachi huyo mshikaji kwenye madigadi ili aweze kuwatumikia na nyiyi lakini anashindwa labda anogopa watachakahua hilo shamba lake[[quote="tz_investor, post: 1556974"][SIZE=4][COLOR=blue]Kanyagio,[/COLOR][/SIZE][/QUOTE]
[SIZE=4][COLOR=blue]Nimeku-pm tangu saa nane mchana niki-confirm ushiriki but sijioni kwenye list (Malila shahidi yangu).[/COLOR][/SIZE]
[SIZE=4][COLOR=blue]Pamoja sana![/COLOR][/SIZE][/QUOTE]
KAMUZI, unaweza kufuatilia kupitia thread hii https://www.jamiiforums.com/busines...t-funding-sources.html?highlight=project+fund
Wakuu, nitashindwa kuhudhuria kwa kuwa niko mbali na Dar. Hata hivyo naunga mkono hoja. Ingawa sitohudhuria, naomba namba ya voda ili nichangie angalau sh.10,000/= kwa M-pesa, inaweza kusaidia kwa emergencies. Ningeshauri kwa wale ambao hawataweza kuhudhuria lakini wanaikubali hoja, wachangie hata kwa kiasi kidogo tu ili tuongeze thamani ya umoja wa JF (mtazamo wangu).
Thanks Kanyagio, Malila na wote waliohusika na initiative hii.
Idumu JF!
Wakuu, nitashindwa kuhudhuria kwa kuwa niko mbali na Dar. Hata hivyo naunga mkono hoja. Ingawa sitohudhuria, naomba namba ya voda ili nichangie angalau sh.10,000/= kwa M-pesa, inaweza kusaidia kwa emergencies. Ningeshauri kwa wale ambao hawataweza kuhudhuria lakini wanaikubali hoja, wachangie hata kwa kiasi kidogo tu ili tuongeze thamani ya umoja wa JF (mtazamo wangu).
Thanks Kanyagio, Malila na wote waliohusika na initiative hii.
Idumu JF!