CHAI Day 5 Feb 2011 Dar: Kujadili fursa katika Kilimo na ufugaji

CHAI Day 5 Feb 2011 Dar: Kujadili fursa katika Kilimo na ufugaji

Nami nitashiriki. Hayo ndo maendeleo. Napendekeza yafuatayo agendani:

1. Kulima mashamba kwa pamoja sehemu moja mfano kila mtu ekari 50. watu 50 watapata huduma vizuri na kutafuta soko kwa pamoja baada ya kuchagua zao. Yaani tuuze kabla hatujalima. Hii itawasaidiwa wasio na muda wa kwenda shamba. Tutawalimia kwani dhana na miundombinu kwa pamoja ni rahisi.
2. Tufanye kilimo biashara, yaani mazao yetu yatengenezwe, mfao, unga, juisi, au mafuta ya alizeti.
3. Wana JF Tuwe soko la kwanza. Kabla hatujaingia soko la tanzania au la afrika mashariki tuuziane na kununuliana kwanza sisi kwa sisi
 
Nami nitashiriki. Hayo ndo maendeleo. Napendekeza yafuatayo agendani:

1. Kulima mashamba kwa pamoja sehemu moja mfano kila mtu ekari 50. watu 50 watapata huduma vizuri na kutafuta soko kwa pamoja baada ya kuchagua zao. Yaani tuuze kabla hatujalima. Hii itawasaidiwa wasio na muda wa kwenda shamba. Tutawalimia kwani dhana na miundombinu kwa pamoja ni rahisi.
2. Tufanye kilimo biashara, yaani mazao yetu yatengenezwe, mfao, unga, juisi, au mafuta ya alizeti.
3. Wana JF Tuwe soko la kwanza. Kabla hatujaingia soko la tanzania au la afrika mashariki tuuziane na kununuliana kwanza sisi kwa sisi

Good idea,

Kanyagio mwongeze Tito ktk orodha.
 
wakubwa nimefanya update kwenye original post. so naomba usome hapo juu upate update!!!
 
Wakuu Muishi Milele.............
Nathibitisha kuhudhuria kwa mapenzi ya Maulana
 
Mkuu kanyagio wajumbe wangu wanahitaji namba zako za kutumia pesa ili wakurushie huo mchango mkuu pole na shuhguli
 
MKUTANO WA KUJADILI FURSA KATIKA KILIMO TAREHE 5 FEBRUARI 2011 SAA 8 KAMILI MCHANA LUNCH TIME HOTEL

wakuu wa JF, heshima zenu!! nachukua nafasi hii kuwafahamisha kuwa baada ya kujadili kwa kina masuala ya kilimo na ufugaji kupitia hapa JF (hasa kupitia thread yaTujiunge na kuanzisha JAMII FARM na nyinginezo tumeona ni vema tufanye mkutano maalum kujadili masuala ya uwekezaji katika kilimo na ufugaji. Madhumuni ya mkutano huu ni kubadilishana taarifa na uzoefu katika uwekezaji katika sekta ya kilimo na ufugaji. aidha itakuwa ni kikao muafaka katika kupeana taarifa mbalimbali za fursa katika kilimo na ufugaji. Huu utakuwa ni mwendelezo wa mkutano tuliofanya mwaka jana.

mkutano huu tarehe 5 Februari 2011 jijini Dar es salaam pale LUNCH TIME HOTEL kuanzia saa 8.00 kamili mchana. Gharama ya kushiriki ni 15,000/= kwa kila mtu (ukumbi na refreshments)

mpaka sasa waliothibitisha kushiriki ni wafuatao:



  1. KANYAGIO
  2. MALILA
  3. TITO
  4. MGOMBEZI
  5. ELNINO
  6. KASOPA
  7. KASOPA FRIEND NO. 1
  8. KASOPA FRIEND NO. 2
  9. ZAHOR SALIM
  10. NEW MZALENDO
  11. TGS D
  12. REALTOR
  13. MASAKI
  14. STREET SMART
  15. LEN
  16. BABALAO
  17. THE INVESTOR
  18. MASIKINI JEURI
  19. SABI SANDA
  20. DORISVETY
  21. CARMEL
  22. RAMTHODS
  23. BENNET (wa mitiki blog)
  24. GAMAHA
  25. AMBASSADOR
  26. KIBANANHUKHU

nafasi bado zipo, mategemeo yetu ni kuwa na watu takribani 35 kwa hiyo nafasi bado zipo!!!

Ratiba imeambatanishwa

ukiwa na swali usisiste kuuliza

"PAMOJA TUNAWEZA"
Nyu Bi Bo Mbiiiii kabisa aluuu.... :clap2:....kibarua kinabana, muda haueleweki....hamna uwezekanano mtu kuhudhuria siku hiyo hata kama haja-confirm?!:twitch:
 
Nyu Bi Bo Mbiiiii kabisa aluuu.... :clap2:....kibarua kinabana, muda haueleweki....hamna uwezekanano mtu kuhudhuria siku hiyo hata kama haja-confirm?!:twitch:

ni vema ku-confirm mapema.. utahudhuria?

Je unaposema muda haueleweki unamaanisha nini? muda ni kuanzia saa 8 kamili mchana na kuendelea.
 
wakubwa nimefanya update kwenye original post. so naomba usome hapo juu upate update!!!

Kanyagio,
Nimeku-pm tangu saa nane mchana niki-confirm ushiriki but sijioni kwenye list (Malila shahidi yangu).

Pamoja sana!
 
Kanyagio,
Nimeku-pm tangu saa nane mchana niki-confirm ushiriki but sijioni kwenye list (Malila shahidi yangu).

Pamoja sana!

Kweli mdau,naamini kanyagio kapitiwa tu,ila ni vizuri kufuatilia tena,na mimi nitamshitua.
 
HTML:
Ebwana huyo kanyagio inabidi amuachi huyo mshikaji kwenye madigadi ili aweze kuwatumikia na nyiyi lakini anashindwa labda anogopa watachakahua hilo shamba lake[[quote="tz_investor, post: 1556974"][SIZE=4][COLOR=blue]Kanyagio,[/COLOR][/SIZE][/QUOTE]
[SIZE=4][COLOR=blue]Nimeku-pm tangu saa nane mchana niki-confirm ushiriki but sijioni kwenye list (Malila shahidi yangu).[/COLOR][/SIZE]
 
[SIZE=4][COLOR=blue]Pamoja sana![/COLOR][/SIZE][/QUOTE]
 
jamani confirmation za kutuma pesa vipi,sijaona namba,
kanyagio,nina wageni wawili,hawajaconfirm kwa kutoa elf 15.nitumie namba ya mpesa ili niweze kuwakaribisha rasmi.
By the way sijawahi kuona watu wanaomba kuchangia 🙂 inanikumbusha tangazo la Masawe na mchango wa harusi kumbe ni Bima ya Afya/NSSF
 
Mkuu Kanyagio; Pole kwa majukumu, ni matumaini yangu kwamba muda si mrefu utatupatia namba itakayowezesha wadau kufanya confirmation kwa malipo.

Wadau; mnaonaje kama tutamwalika JF Founder au mmojawao kushiriki CHAI DAY ili waendelee kuona matunda ya kazi njema waliyoanzisha, kwani kupitia JF yote haya yanatendeka.
 
Wakuu, nitashindwa kuhudhuria kwa kuwa niko mbali na Dar. Hata hivyo naunga mkono hoja. Ingawa sitohudhuria, naomba namba ya voda ili nichangie angalau sh.10,000/= kwa M-pesa, inaweza kusaidia kwa emergencies. Ningeshauri kwa wale ambao hawataweza kuhudhuria lakini wanaikubali hoja, wachangie hata kwa kiasi kidogo tu ili tuongeze thamani ya umoja wa JF (mtazamo wangu).
Thanks Kanyagio, Malila na wote waliohusika na initiative hii.
Idumu JF!
 
Safi Sana,Thats the spirit 🙂
Wakuu, nitashindwa kuhudhuria kwa kuwa niko mbali na Dar. Hata hivyo naunga mkono hoja. Ingawa sitohudhuria, naomba namba ya voda ili nichangie angalau sh.10,000/= kwa M-pesa, inaweza kusaidia kwa emergencies. Ningeshauri kwa wale ambao hawataweza kuhudhuria lakini wanaikubali hoja, wachangie hata kwa kiasi kidogo tu ili tuongeze thamani ya umoja wa JF (mtazamo wangu).
Thanks Kanyagio, Malila na wote waliohusika na initiative hii.
Idumu JF!
 
Wakuu, nitashindwa kuhudhuria kwa kuwa niko mbali na Dar. Hata hivyo naunga mkono hoja. Ingawa sitohudhuria, naomba namba ya voda ili nichangie angalau sh.10,000/= kwa M-pesa, inaweza kusaidia kwa emergencies. Ningeshauri kwa wale ambao hawataweza kuhudhuria lakini wanaikubali hoja, wachangie hata kwa kiasi kidogo tu ili tuongeze thamani ya umoja wa JF (mtazamo wangu).
Thanks Kanyagio, Malila na wote waliohusika na initiative hii.
Idumu JF!

Kwanza asante sana mkuu kwa moyo huo,
Pili, mimi naamini tutachukua minutes za mkutano,kisha tutazirudisha hapa jamvini ili mliokosa fursa hii musome na kuwa updated na kilichotokea.
 
Back
Top Bottom