Chakii amefiwa na dada yake

Chakii amefiwa na dada yake

Innalillahi Wainnailayhi raajiun,poleni sana wafiwa.
 
Ni kweli nimefiwa kama mkuu Ennie alivyowasilisha taarifa hii hapa MMU.

Msiba umetokea asubuhi ya leo, dada yetu mpendwa alilazwa hospitalini kama wiki moja hivi ndipo MUNGU akaamua kumchukua asubuhi ya leo.

Wakuu nimezipokea kwa moyo wa unyenyekevu pole zenu, hakika nimepata Faraja kubwa.

Msiba upo Machame.
 
Last edited by a moderator:
Kazi ya Mungu haina mokosa.

Pole sana chakii
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli nimefiwa kama mkuu Ennie alivyowasilisha taarifa hii hapa MMU.

Msiba umetokea asubuhi ya leo, dada yetu mpendwa alilazwa hospitalini kama wiki moja hivi ndipo MUNGU akaamua kumchukua asubuhi ya leo.

Wakuu nimezipokea kwa moyo wa unyenyekevu pole zenu, hakika nimepata Faraja kubwa.

Msiba upo Machame.

Machame sehemu gani mkuu pole sana
 
Last edited by a moderator:
sympathy_on_loss_of_sister_with_a_red_rose_card-rab0bab7d91ec4f13acd105694912c857_xvuat_8byvr_512.jpg


Mungu akutie nguvu...
 
Ni kweli nimefiwa kama mkuu Ennie alivyowasilisha taarifa hii hapa MMU.

Msiba umetokea asubuhi ya leo, dada yetu mpendwa alilazwa hospitalini kama wiki moja hivi ndipo MUNGU akaamua kumchukua asubuhi ya leo.

Wakuu nimezipokea kwa moyo wa unyenyekevu pole zenu, hakika nimepata Faraja kubwa.

Msiba upo Machame.


Pole sana mkuu chakii

Moderator, Paw, Cookie mwaweza kuipandisha hii kwa kuongezea uzito wa bandiko!!!!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana chakii...Mungu akupe nguvu
 
Last edited by a moderator:
Pole sana chakii Mungu akutie nguvu kwa kipindi hiki
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom