Chakii amefiwa na dada yake

Chakii amefiwa na dada yake

Mungu awape nguvu wafiwa katika wakati huu mgumu and RIP sister.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mungu akutie nguvu
Habari za mapumziko wana MMU!!

Mwanajamvi mwenzetu chakii amefiwa na dada yake leo asubuhi huko Machame,Moshi.
Taratibu za mazishi zinafanyika huko huko Machame.

Mungu awape wafiwa imani na utulivu katika kipindi hiki kigumu.


=======================================
 
Ni kweli nimefiwa kama mkuu Ennie alivyowasilisha taarifa hii hapa MMU.

Msiba umetokea asubuhi ya leo, dada yetu mpendwa alilazwa hospitalini kama wiki moja hivi ndipo MUNGU akaamua kumchukua asubuhi ya leo.

Wakuu nimezipokea kwa moyo wa unyenyekevu pole zenu, hakika nimepata Faraja kubwa.

Msiba upo Machame.

Pole Sana kwa kufiwa na dada"Iruwa awaninge finya kutiren den mbe"
 
Last edited by a moderator:
Pole sana chakii, Mungu awape nguvu ktk kipindi hiki kigumu
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu. Mungu akupe wepesi katika kipindi hiki kigumu kwako chakii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom