pole sana........
RİP dada.
Pole chakii na wafiwa wote
Nikupe pole sana mkuu chakii,hasa ktk kipindi hiki kigumu cha majonzi kumpoteza mpendwa wenu.
Poleni sana wote mliofiwa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Habari za mapumziko wana MMU!!
Mwanajamvi mwenzetu chakii amefiwa na dada yake leo asubuhi huko Machame,Moshi.
Taratibu za mazishi zinafanyika huko huko Machame.
Mungu awape wafiwa imani na utulivu katika kipindi hiki kigumu.
=======================================
Poleeeni wafiwa
Polee sana..
Poleni sana wote mliofikwa na msiba kazi ya Mungu haina makosa
Aiseee......Mungu awatie nguvu!!!
Polee mkuu.
Innalillahi Wainnailayhi raajiun,poleni sana wafiwa.
pole sana kwa wafiwa
Pole Chakii.