Chakii amefiwa na dada yake

Chakii amefiwa na dada yake

Ennie

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2011
Posts
7,137
Reaction score
4,134
Habari za mapumziko wana MMU!!

Mwanajamvi mwenzetu chakii amefiwa na dada yake leo asubuhi huko Machame,Moshi.
Taratibu za mazishi zinafanyika huko huko Machame.

Mungu awape wafiwa imani na utulivu katika kipindi hiki kigumu.


=======================================

Ni kweli nimefiwa kama mkuu Ennie alivyowasilisha taarifa hii hapa MMU.

Msiba umetokea asubuhi ya leo, dada yetu mpendwa alilazwa hospitalini kama wiki moja hivi ndipo MUNGU akaamua kumchukua asubuhi ya leo.

Wakuu nimezipokea kwa moyo wa unyenyekevu pole zenu, hakika nimepata Faraja kubwa.

Msiba upo Machame.
 
Habari za mapumziko wana MMU!!

Mwanajamvi mwenzetu chakii amefiwa na dada yake leo asubuhi huko Machame,Moshi.
Taratibu za mazishi zinafanyika huko huko Machame.

Mungu awape wafiwa imani na utulivu katika kipindi hiki kigumu.
 

Attachments

  • 1404721533453.jpg
    1404721533453.jpg
    29.2 KB · Views: 235
Last edited by a moderator:
chakii pole sana kwa msiba mkuu!!!

Mungu awatie faraja katika kipindi hiki!!!
 
Last edited by a moderator:
Pole Sana Mkuu chakii Mungu Akutie Nguvu Sana....Amen
 
Last edited by a moderator:
Nikupe pole sana mkuu chakii,hasa ktk kipindi hiki kigumu cha majonzi kumpoteza mpendwa wenu.
 
Poleni sana wote mliofiwa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Poleni sana wote mliofikwa na msiba kazi ya Mungu haina makosa
 
Mbona mfiwa hana habari ya msiba.
 
Back
Top Bottom