Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,134
Habari za mapumziko wana MMU!!
Mwanajamvi mwenzetu chakii amefiwa na dada yake leo asubuhi huko Machame,Moshi.
Taratibu za mazishi zinafanyika huko huko Machame.
Mungu awape wafiwa imani na utulivu katika kipindi hiki kigumu.
=======================================
Mwanajamvi mwenzetu chakii amefiwa na dada yake leo asubuhi huko Machame,Moshi.
Taratibu za mazishi zinafanyika huko huko Machame.
Mungu awape wafiwa imani na utulivu katika kipindi hiki kigumu.
=======================================
Ni kweli nimefiwa kama mkuu Ennie alivyowasilisha taarifa hii hapa MMU.
Msiba umetokea asubuhi ya leo, dada yetu mpendwa alilazwa hospitalini kama wiki moja hivi ndipo MUNGU akaamua kumchukua asubuhi ya leo.
Wakuu nimezipokea kwa moyo wa unyenyekevu pole zenu, hakika nimepata Faraja kubwa.
Msiba upo Machame.