Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaongelea matanda yale machafu machafu au aina ya mama ntilie na uchafu wake.Sina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwaajili ya maskini.
Mabenchi machafu
Viti vimevunjika
Meza chafu, inzi wakutosha
Msosi sometimes unanuka moshi
Wahudumu wachafu
Customer care iko chini.
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)
Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.
Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
Hapa Kilombero hiyo ndo bei ya mchele supaSina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwaajili ya maskini.
Mabenchi machafu
Viti vimevunjika
Meza chafu, inzi wakutosha
Msosi sometimes unanuka moshi
Wahudumu wachafu
Customer care iko chini.
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)
Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.
Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
Sawa wee mshindiKutoka shavu ni dalili ya ugonjwa pia, why utoke shavu?
Ushuhuda: Niliwahi kutembea kwa mguu kutoka Posta mpaka Goba baada ya kukosa nauli
Hakika maisha yana changamoto. Miaka 6 nyuma nikiwa katika harakati za kutafuta kazi Dar es salaam nikitokea mkoa nakumbuka nimewahi kuswaga mguu Posta- Goba baada ya mfuko kukosa mia 4 ya daladala. Hii ilijitokeza mara nyingi tu. Unatembea mpaka unajiona huna akili au hauko katika hesabu ya...www.jamiiforums.com
JF banaMlinzi wa shule alinilaani, nami nimekuwa mlinzi
Ilikuwa 2012 nikiwa kidato cha tano katika shule moja ya serikali hapa nchini. Ile shule ilikuwa ya boarding. Siku moja wakati natoka kwenye kipindi cha dini saa 2 usiku nilipopita getini na wenzangu 2 tukielekea mabwenini nikamuuliza mlinzi maswali ambayo yalimkwaza. Moja ya maswali hayo...www.jamiiforums.com
Lakini vinatutoa shavu mkuu Tena unapimiwa mzigo wakutosha Mboga Kama zoote yaani tunafaidi Sana
Ila ukienda kwenye hotel zenye hadhi msosi unapewa Kama umeomba Tena ukute hakijaiva vzr na wananyodo Sana wahudumu wahiyo mihotel
Ndugu tajiri sijakuona kwenye orodha ya Forbes au wamesahau jina lako tuwashtakiSina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini.
- Mabenchi machafu
- Viti vimevunjika
- Meza chafu, inzi wakutosha
- Msosi sometimes unanuka moshi
- Wahudumu wachafu
- Customer care iko chini
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)
Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.
Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
Sina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini.
- Mabenchi machafu
- Viti vimevunjika
- Meza chafu, inzi wakutosha
- Msosi sometimes unanuka moshi
- Wahudumu wachafu
- Customer care iko chini
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)
Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.
Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
unaweza kuwasaidia vipi sasa, watu wanasomesha watoto na sisi wengine tumekuzwa na vyakula hivyohivyo, acha dharau.Sina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini.
- Mabenchi machafu
- Viti vimevunjika
- Meza chafu, inzi wakutosha
- Msosi sometimes unanuka moshi
- Wahudumu wachafu
- Customer care iko chini
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)
Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.
Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
Dodoma [emoji1787][emoji1787] Ni kweli unakuta chapati Ina mchangaMama Ntilie nao wako na classes zao..mimi kuna baadhi ya mama Ntilie huwezi kunilisha chakula chao asee hasa mama Ntilie wa Dodoma ni wachafu hatari.
Vyakula vya hotelini vingi havina ladha chunguza utajaniambia,Huuu ni ukweli usiopingika mkuu,, Mama ntilie ni huduma kwa ajili ya makapuku, mwenye hela hawezi kula kwa mama ntilie.. Me nayesema hivi ni miongoni mwa mwa makapuku na ndo maana nasupport hv ni kutoka na ushuhuda was wazi kabisa nilionao..
Sisis makapuku pekee ndo tunakula kwa mama ntilie