Chakula cha Mama Ntilie ni kwaajili ya masikini

Chakula cha Mama Ntilie ni kwaajili ya masikini

Mama Ntilie nao wako na classes zao..mimi kuna baadhi ya mama Ntilie huwezi kunilisha chakula chao asee hasa mama Ntilie wa Dodoma ni wachafu hatari.
Ni wa chafu balaa. Majority wana mizigo balaa ila sijui Kama inaoshwa vizur ukichukulia kuna uhaba wa maji.
 
Sina mengi wakuu nawasalimu.

Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini.
  • Mabenchi machafu
  • Viti vimevunjika
  • Meza chafu, inzi wakutosha
  • Msosi sometimes unanuka moshi
  • Wahudumu wachafu
  • Customer care iko chini

Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.

Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)

Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.

Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
Huo mchele wa 2500/= hapo dar, huku mbeya ni 800! Una lipi la kusema Zaidi?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Chakula cha mama ntilie kizuri sana ndio maana hata nguvu za kiume zipo za kutosha maana wanatupa na kikombe cha Alkasusu bure.
 
Kwa Mama ntilie;
Msosi ni wa leoleo yaani Todayday
Kama haujashiba unaongezewa yaani mlo mmoja umebeba milo 3.
Wahudumu wanachukulika,
Bei ni rafiki yaani unakula kulingana na hela uliyonayo,
Unaweza ukakopeshwa msosi deileee na kulipa mwisho wa mwezi,

MWISHO;
Kuhusu uchafu ni huko unapokula wewe,
𝚑𝚒𝚒 𝚔𝚞𝚔𝚘𝚙𝚊 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚕𝚒𝚙𝚊 𝚖𝚠𝚒𝚜𝚑𝚘 𝚠𝚊 𝚖𝚠𝚎𝚣𝚒 𝚑𝚊𝚙𝚊𝚗𝚊.

𝚑𝚊𝚢𝚞𝚙𝚘 𝚖𝚊𝚖𝚊 𝚗'𝚝𝚒𝚕𝚒𝚎 𝚠𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚘.
 
Walinilisha ugali,baada ya lisaa tu mbele nikapoteza funguo aise nusu nife, chooni narudia mara kwa mara kama naingiza vocha kwenye simu ikanifikisha mpaka asubuhi niko hoi,kimenipoa kula kwa mama ntilie,ile asubuhi nikapata dawa za kuzuia kuharisha mambo yakakaa sawa.Ila nilikaa siku nne bila kupata choo Aisee.
Naunga mkono hoja.
𝙷𝚊𝚕𝚒𝚌𝚑𝚘 𝚜𝚎𝚖𝚊 𝚖𝚝𝚘𝚊 𝚖𝚊𝚍𝚊 𝚗𝚒 𝚜𝚊𝚑𝚒𝚑𝚒

𝚠𝚊𝚗𝚊𝚘 𝚙𝚒𝚗𝚐𝚊 𝚠𝚊𝚙𝚒𝚗𝚐𝚎 𝚝𝚞.

𝚖𝚊𝚖𝚊 𝚗'𝚝𝚒𝚕𝚒𝚎 𝚠𝚎𝚗𝚐𝚒 𝚠𝚊𝚘 𝚠𝚊𝚌𝚑𝚊𝚏𝚞 .
 
Chakula cha mama ntilie kimenisaidia sana hasa kipindi nipo chuo ila kuna baadhi ni wachafu. Kuna kipindi flani niliingia mgahawa flani mbezi mwisho nikaagiza chakula wakaniletea na kijiko kichafu! njaa yote iliniisha nikaghairi kula
[emoji1][emoji1] 𝚠𝚎𝚗𝚐𝚒 𝚗𝚒 𝚠𝚊𝚌𝚑𝚊𝚏𝚞
 
Hivi wakuu yule aliesemaga usafiri wa daladala ni kwa masikini tu sio huyu kweli?
𝚖𝚔𝚞𝚞 𝚜𝚒𝚘 𝚞𝚘𝚗𝚐𝚘 𝚝𝚊𝚓𝚒𝚛𝚒 𝚑𝚊𝚙𝚊𝚗𝚍𝚒 𝚍𝚊𝚛𝚊𝚍𝚊𝚛𝚊 𝚕𝚊𝚋𝚍𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚊𝚗𝚊 𝚍𝚑𝚊𝚛𝚞𝚕𝚊.
 
Ni chakula poa kwa mlala hoi Ila tu wazidishe usafi. Nikipiga ugali nyama 1500 ninashiba sana. Jioni ni matunda na kulala. Mama ntilie hoyeeeeee!
 
Mkuu Sandali Ali kama ulitokea huku, hujafanya fair kuwadharau mama ntilie... Unajisahau
 
Mleta mada ulichoandika kwa mtizamo wangu Mimi Ni kweli kabisa. Nakuunga mkono Japo kuwa ni mtoto wa kishua Ila nimeishi Sana maisha ya uhalisia na nimebobea kwenye maswala ya kijamii.

Inahitaji kutafakari kidogo kabla ya kupiga na haswa uwe umewahi kula kwa huyo Mama ntilie haswa wa Usiku.

Pale unapoagiza ugali wa hamira kizani huwa hawaweki taa. Jibu utalipata lengo siyo kuwaponda maskini Ila lengo ni kuuchukia UMASKINI. UMASKINI ni Janga ,Tuuchukie UMASKINI, MASKINI Hana rafiki wa kudumu. UMASKINI siyo Joho la Ufahari.
 
Mnachopewa ni unbalanced diet, ni bora tumbo lijae. Mahoteli makubwa unapewa balanced diet ili kila kona ya mwili wako ifikiwe na necessary nutrients.
unalisha samaki alikaa miexi 6 !!! shtuka
 
Uchumi wa kati wa chini ndio huo
 
Mama Ntilie

.............tatizo ni uchafu.....uchafu .......uchafu!!
 
Mleta mada ulichoandika kwa mtizamo wangu Mimi Ni kweli kabisa. Nakuunga mkono Japo kuwa ni mtoto wa kishua Ila nimeishi Sana maisha ya uhalisia na nimebobea kwenye maswala ya kijamii.

Inahitaji kutafakari kidogo kabla ya kupiga na haswa uwe umewahi kula kwa huyo Mama ntilie haswa wa Usiku.

Pale unapoagiza ugali wa hamira kizani huwa hawaweki taa. Jibu utalipata lengo siyo kuwaponda maskini Ila lengo ni kuuchukia UMASKINI. UMASKINI ni Janga ,Tuuchukie UMASKINI, MASKINI Hana rafiki wa kudumu. UMASKINI siyo Joho la Ufahari.
Umasikini ni mtaji wa wanasiasa wa chama tawala nchin Tanzania
 
Sina mengi wakuu nawasalimu.

Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini.
  • Mabenchi machafu
  • Viti vimevunjika
  • Meza chafu, inzi wakutosha
  • Msosi sometimes unanuka moshi
  • Wahudumu wachafu
  • Customer care iko chini

Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.

Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)

Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.

Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
Omba usipigwe kofi Mungu!!
 
Back
Top Bottom