Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Ni wa chafu balaa. Majority wana mizigo balaa ila sijui Kama inaoshwa vizur ukichukulia kuna uhaba wa maji.Mama Ntilie nao wako na classes zao..mimi kuna baadhi ya mama Ntilie huwezi kunilisha chakula chao asee hasa mama Ntilie wa Dodoma ni wachafu hatari.