Ni wa chafu balaa. Majority wana mizigo balaa ila sijui Kama inaoshwa vizur ukichukulia kuna uhaba wa maji.Mama Ntilie nao wako na classes zao..mimi kuna baadhi ya mama Ntilie huwezi kunilisha chakula chao asee hasa mama Ntilie wa Dodoma ni wachafu hatari.
Huo mchele wa 2500/= hapo dar, huku mbeya ni 800! Una lipi la kusema Zaidi?Sina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini.
- Mabenchi machafu
- Viti vimevunjika
- Meza chafu, inzi wakutosha
- Msosi sometimes unanuka moshi
- Wahudumu wachafu
- Customer care iko chini
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)
Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.
Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
πππ ππππππ ππ ππππππ ππ ππππ π π ππ ππ£π ππππππ.Kwa Mama ntilie;
Msosi ni wa leoleo yaani Todayday
Kama haujashiba unaongezewa yaani mlo mmoja umebeba milo 3.
Wahudumu wanachukulika,
Bei ni rafiki yaani unakula kulingana na hela uliyonayo,
Unaweza ukakopeshwa msosi deileee na kulipa mwisho wa mwezi,
MWISHO;
Kuhusu uchafu ni huko unapokula wewe,
π·ππππππ ππππ ππππ ππππ ππ ππππππWalinilisha ugali,baada ya lisaa tu mbele nikapoteza funguo aise nusu nife, chooni narudia mara kwa mara kama naingiza vocha kwenye simu ikanifikisha mpaka asubuhi niko hoi,kimenipoa kula kwa mama ntilie,ile asubuhi nikapata dawa za kuzuia kuharisha mambo yakakaa sawa.Ila nilikaa siku nne bila kupata choo Aisee.
Naunga mkono hoja.
[emoji1][emoji1] π ππππ ππ π ππππππChakula cha mama ntilie kimenisaidia sana hasa kipindi nipo chuo ila kuna baadhi ni wachafu. Kuna kipindi flani niliingia mgahawa flani mbezi mwisho nikaagiza chakula wakaniletea na kijiko kichafu! njaa yote iliniisha nikaghairi kula
[emoji23][emoji23][emoji23]Dodoma [emoji1787][emoji1787] Ni kweli unakuta chapati Ina mchanga
ππππ πππ πππππ ππππππ πππππππ ππππππππ πππππ ππππ πππ πππππππ.Hivi wakuu yule aliesemaga usafiri wa daladala ni kwa masikini tu sio huyu kweli?
Mkuu Sandali Ali kama ulitokea huku, hujafanya fair kuwadharau mama ntilie... UnajisahauMlinzi wa shule alinilaani, nami nimekuwa mlinzi
Ilikuwa 2012 nikiwa kidato cha tano katika shule moja ya serikali hapa nchini. Ile shule ilikuwa ya boarding. Siku moja wakati natoka kwenye kipindi cha dini saa 2 usiku nilipopita getini na wenzangu 2 tukielekea mabwenini nikamuuliza mlinzi maswali ambayo yalimkwaza. Moja ya maswali hayo...www.jamiiforums.com
unalisha samaki alikaa miexi 6 !!! shtukaMnachopewa ni unbalanced diet, ni bora tumbo lijae. Mahoteli makubwa unapewa balanced diet ili kila kona ya mwili wako ifikiwe na necessary nutrients.
Umasikini ni mtaji wa wanasiasa wa chama tawala nchin TanzaniaMleta mada ulichoandika kwa mtizamo wangu Mimi Ni kweli kabisa. Nakuunga mkono Japo kuwa ni mtoto wa kishua Ila nimeishi Sana maisha ya uhalisia na nimebobea kwenye maswala ya kijamii.
Inahitaji kutafakari kidogo kabla ya kupiga na haswa uwe umewahi kula kwa huyo Mama ntilie haswa wa Usiku.
Pale unapoagiza ugali wa hamira kizani huwa hawaweki taa. Jibu utalipata lengo siyo kuwaponda maskini Ila lengo ni kuuchukia UMASKINI. UMASKINI ni Janga ,Tuuchukie UMASKINI, MASKINI Hana rafiki wa kudumu. UMASKINI siyo Joho la Ufahari.
Omba usipigwe kofi Mungu!!Sina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini.
- Mabenchi machafu
- Viti vimevunjika
- Meza chafu, inzi wakutosha
- Msosi sometimes unanuka moshi
- Wahudumu wachafu
- Customer care iko chini
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)
Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.
Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.