Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

nyama ya nyoka mkubwa siwez rudia,inakuwa kama inakereketa kwenye koo sasa sijui ni kwa sababu ya wingi wa sumu
 
Kuna siku nikiwa uarabuni nilikula kiwi.
Wenyeji wangu wanadai KiWI inapatikana hata Tanzania lakini hatuuzi nje.
 
Back
Top Bottom