nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
- Thread starter
- #21
Utakuwa una mzio(allergy)kwani ukila kuna shida yoyote inaweza kukutokea ?mi ni mayai lakin kuku namla mwenye dawa jaman anisaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa una mzio(allergy)kwani ukila kuna shida yoyote inaweza kukutokea ?mi ni mayai lakin kuku namla mwenye dawa jaman anisaidie
Ndo nini mkuu ??Machalari ya vipoporo...
Duuh mkuu vitu vitamu ndo hauli kabisa.Duuh yoghurt ndo kinywaji changu pendwa!!!! Soda nikinywa hua nasikia kama kulewa fulani.
Ila ndizi mbichi au zilizochomwa zimenishinda kabisaaa..hata upikeje. Sili
Viazi mviringo ile harufu daah
Duuh pole kande wakiweka na nazi ni tamu sanaKande, hata ziwekwe nazi au maziwa kwangu mimi ni bila bila, sizipendi kabisa but not allergic
Jamani hata mimi hizi ishu sijawahi tia mdomoni..sijui mlenda..sijui bamia.sijui biringanya. Sijui nyanya chungu sijui kisamvu yelewiii🤧🤧🤧Habari za Usiku wakuu..
Aisee mimi chakula ambacho sina allergy nacho ila kiukweli Hata upike Vipi Hauwezi kula kabisa kwa Upande wangu mimi ni BAMIA NA NYANYA CHUNGU..Vyovyote utakapopika mimi sitaweza kula na sijajua sababu ni ipi..
Je ni chakula Gani Hauwezi kula kabisa na wala kuonja kabisa !!?
Ulivyotaja sio chakula, au vinakushibisha tumbo?Cocaine, heroin, bora tu nibaki na ganja zangu
Ukila mayai mwili unakuaje?mi ni mayai lakin kuku namla mwenye dawa jaman anisaidie
Ukila zinakuletea tatizo gani?Nyanya chungu bilinganya na choroko hata uiunge vipi siwezagi kula.
Una aleg na dagaanikila kauzu lazima asubh ya pili niumwe na mafua tena makali na nawapenda na ugali balaa
Wewe kama mimi, msosi wowote napiga fresh😋Hapa Ni twende kazi tu hakuna Chakula imewahi nikataa..😂
Love you sweetie..😉Wewe kama mimi, msosi wowote napiga fresh😋
Nakupenda pia hadi naumwaLove you sweetie..😉
😍 Pole mrembo wangu.. usiumwe mama nipo kwaajili yako na nitatibu maumivu yako then nitakupa kile moyo upendacho..😉Nakupenda pia hadi naumwa
Hata Mimi soda hivyo hivyoMaziwa ya kuganda ndio yenye kuniletea taabu lakini haya packed hayaniumizi. Soda zinaniumiza na kunipanua mishipa ya kichwa, kulewa na kukosa isingizi.
Irish potatoes ndio chakula changu cha kwanza kisha wali pia ndizi. Ndizi mbivu kwa siku nakula 15.