Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
MfyuuuuuUshamba tu.. naona huijui bilinganya wewe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MfyuuuuuUshamba tu.. naona huijui bilinganya wewe..
majani ya maboga jamani ile mboga ikipikwa kama vile unatafuna washawasha doh
Sipendi Haya manyanya chungu Aisee.
Nyama ya paka, mbwa, mijusi, konokono, kenge, mamba, maduduwasha, chura, nyoka, panya, mende na popo ata uibanike au uichome na barbeque sauce kutoka peponi sitakula.
Nakula kila kitu...namaanisha kila kitu
Nyama ya paka, mbwa, mijusi, konokono, kenge, mamba, maduduwasha, chura, nyoka, panya, mende na popo ata uibanike au uichome na barbeque sauce kutoka peponi sitakula.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi hakuma ambacho hakipandi labda upike mchanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi nakula kila kitu....when i say everything i means or living and nonliving....kikaangwe ..kichemshwe ..kibanikwe..kifanywe vyovyote vile nakula....kitu ambacho kimenishinda kula kula ni sumu tu....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aiseee sidhaniii....mimi hata upike majani ya migomba napiga tu
Pole sana na ni alegi iyo ungekua jirani ningekupa dawa ya kunywa iisheKichefu chefu
Ahsante SanaPole sana na ni alegi iyo ungekua jirani ningekupa dawa ya kunywa iishe
Ha ha ha ha naipenda nasaga juice nakunywaAliyegundua cabbage huyu aende motoni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mamba nakula[emoji23] hebu fafanua hapo kwenye msisitizo....panya, chura, nyoka, popo etc wewe twende kazini.
[emoji38][emoji38][emoji38]Huwa nahisi cabbage na garbage ni pacha....tangu utotoni ni tafrani.