Chakula kipi una mzio nacho au haupendi kula kabisa

Chakula kipi una mzio nacho au haupendi kula kabisa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nyama ya paka, mbwa, mijusi, konokono, kenge, mamba, maduduwasha, chura, nyoka, panya, mende na popo ata uibanike au uichome na barbeque sauce kutoka peponi sitakula.
 
mi nakula kila kitu....when i say everything i means or living and nonliving....kikaangwe ..kichemshwe ..kibanikwe..kifanywe vyovyote vile nakula....kitu ambacho kimenishinda kula kula ni sumu tu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mananasi ya kukaanga
Ugali wa ufuta
keki ya bamia
Wali wa mahindi
Miwa ya kuchemsha
Mchuzi wa tikitimaji
 
[emoji23] hebu fafanua hapo kwenye msisitizo....panya, chura, nyoka, popo etc wewe twende kazini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mamba nakula
 
  • Mshangao
Reactions: BAK
Utumbo, Kitabu nk.
Pika chochote then changanya na utumbo. Siwezi kula hata niwekewe nini.

Kongoro na jamii ya kichwa, mkia.
Hata upike vipi siwezi.

Kiukweli siwezi.
 
Mananasi
images%20(15).jpg
 
Back
Top Bottom