kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Muongo ww washawasha dah[emoji2] [emoji2] [emoji2]majani ya maboga jamani ile mboga ikipikwa kama vile unatafuna washawasha doh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongo ww washawasha dah[emoji2] [emoji2] [emoji2]majani ya maboga jamani ile mboga ikipikwa kama vile unatafuna washawasha doh
Kabeji Mimi nabondaNilikuwa siipendi hapo awalj hata sielewi nilianzaje kula ila ikiwa na maharage inakuwa tamu sana
Nilikuwa siipendi hapo awalj hata sielewi nilianzaje kula ila ikiwa na maharage inakuwa tamu sana
Nimeziacha sasa ni mwezi wa tatuHata Mimi soda hivyo hivyo
yan huku tunaita kambaku mafua yanakua makali mpaka uchaf wa puani unatoka na dam dam lakini nawala hivohivo hata kwa mwezi mara moja inatoshaUna aleg na dagaa
Sipendi Haya manyanya chungu Aisee.
Ushamba tu.. naona huijui bilinganya wewe..Nyanya chungu bilinganya na choroko hata uiunge vipi siwezagi kula.
maziwa mtindi, nyanya chungu,Habari za Usiku wakuu..
Aisee mimi chakula ambacho sina allergy nacho ila kiukweli Hata upike Vipi Hauwezi kula kabisa kwa Upande wangu mimi ni BAMIA NA NYANYA CHUNGU..Vyovyote utakapopika mimi sitaweza kula na sijajua sababu ni ipi..
Je ni chakula Gani Hauwezi kula kabisa na wala kuonja kabisa !!?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] panya vpmi nakula kila kitu....when i say everything i means or living and nonliving....kikaangwe ..kichemshwe ..kibanikwe..kifanywe vyovyote vile nakula....kitu ambacho kimenishinda kula kula ni sumu tu....
remind you..i said everything......[emoji2] [emoji2] [emoji2] panya vp
Pole sana na ni alegi iyo madam na tafuta dawa za kienyejiyan huku tunaita kambaku mafua yanakua makali mpaka uchaf wa puani unatoka na dam dam lakini nawala hivohivo hata kwa mwezi mara moja inatosha
Kichefu chefuUkila zinakuletea tatizo gani?