Chakula kipi una mzio nacho au haupendi kula kabisa

Mimi kazi kazi kila msosi nagonga ila kuna kitu kinaitwa ulojo umenishindwa kabisa napenda sana vyakula vyeti vya bala
 
Huwa nahisi cabbage na garbage ni pacha....tangu utotoni ni tafrani.
 
Makande sipendi ila haikatai nagonga hivyo hivyo nikikuta sehemu japo kwangu ni mwiko kupikwa.
 
Nakula kila kitu
Ila mbozi katoliki is the best.
Sina kinyaa hata chooni nalia tu.
 
maziwa mtindi, nyanya chungu,
 
mi nakula kila kitu....when i say everything i means or living and nonliving....kikaangwe ..kichemshwe ..kibanikwe..kifanywe vyovyote vile nakula....kitu ambacho kimenishinda kula kula ni sumu tu....
 
mi nakula kila kitu....when i say everything i means or living and nonliving....kikaangwe ..kichemshwe ..kibanikwe..kifanywe vyovyote vile nakula....kitu ambacho kimenishinda kula kula ni sumu tu....
[emoji2] [emoji2] [emoji2] panya vp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…