Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Tumpe maua yake ,aliyetoa hili wazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayakutusaidiaSa wazazi watasemaje wakati nao walikula mafuta na usikute yaliwasaidia pia
Kumbe wee umesoma "Warsaw"Kawaida hiyo nimekula makande yenye kerosene nikiwa Tabora gals hadi nahitimu,na sikupata genye wala madhara yoyote.
Ko mafuta ya taa yanabadilisha hormones?Madhara yake ni ugumba. Pia inaweza sababisha wanaume wawe na homoni za kike. Ila nchi hii ina watu wa ajabu sana. Kuna mtu alikaa na kuelekeza shule ziwe zinaweka mafuta ya taa kwenye msosi!!?
NdiyoKo mafuta ya taa yanabadilisha hormones?
🤣🤣Mtu unabukua pcm hizo nyege zinatoka wapi?Ndo maana mda wa discussion Tabora boys ulkuwa haushtuki nikikugusa[emoji1787]
Uongo mkubwaa huu, khaaahNdiyo
Yap🤔nimebukua pale 5&6Kumbe wee umesoma "Warsaw"
Wosoooooooo.
Google. Mafuta ya taa na plastiki zinabadili hormones na kuleta ugumba. Na vyote vinatokana na mafuta.Uongo mkubwaa huu, khaaah
Hongeraaa mnooo dear.Yap[emoji848]nimebukua pale 5&6
Kheeeh makubwaaa tenaa hayaa.Google. Mafuta ya taa na plastiki zinabadili hormones na kuleta ugumba. Na vyote vinatokana na mafuta.
Subiri. Madhara yake utakuja kuyaona huko mbele ya safari. Kansa nyingi hukua polepole. Kwa hivyo badala ya kujigamba eti hukupata madhara yo yote, jiangalie afya yako hasa ovarian na colorectal cancers 10 - 15yrs from now!Kawaida hiyo nimekula makande yenye kerosene nikiwa Tabora gals hadi nahitimu,na sikupata genye wala madhara yoyote.
Thanks ilikuwa ni kwere,afu tulikuwa wachache,pcm tulikuwa 10,pcb walikuwa 11 na hgl walikuwa 15,imagine ndo a level yote,tulikuwa tunajuana hadi majina🤣🤣 sema kipindi Cha welcome form 1 na 5,na siku za joint mass ndio tulikuwa tunainjoi.Hongeraaa mnooo dear.
Acha story hizo,ovary zangu ziko vizuri tu na nishabarikiwa madume wawili🙏Subiri. Madhara yake utakuja kuyaona huko mbele ya safari. Kansa nyingi hukua polepole. Kwa hivyo badala ya kujigamba eti hukupata madhara yo yote, jiangalie afya yako hasa ovarian na colorectal cancers 10 - 15yrs from now!