Chakula kuchanganywa na Mafuta ya taa kwa wanafunzi wa kike Sekondari

Chakula kuchanganywa na Mafuta ya taa kwa wanafunzi wa kike Sekondari

Madhara yake ni ugumba. Pia inaweza sababisha wanaume wawe na homoni za kike. Ila nchi hii ina watu wa ajabu sana. Kuna mtu alikaa na kuelekeza shule ziwe zinaweka mafuta ya taa kwenye msosi!!?
Ko mafuta ya taa yanabadilisha hormones?
 
Shule zote za boarding huwa wanaweka.mafuta ya taa, lakini hata hivyo haikua inasaidia, ni uongo mtupuuu.

Kuna siku wapishi shuleni kwetu walizidishaa, had wanafunzi wengine tuliacha kulaa, ilikua kwenye maharagee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mi sijaona athari ya hayo mafuta sababu kila nikishiba tu........., kuna siku skuli wapishi walizidisha kipimo cha mafuta ya taa kwenye uji.., tulipanga kuanzisha fujo lakini walituwahi...
 
Kawaida hiyo nimekula makande yenye kerosene nikiwa Tabora gals hadi nahitimu,na sikupata genye wala madhara yoyote.
Subiri. Madhara yake utakuja kuyaona huko mbele ya safari. Kansa nyingi hukua polepole. Kwa hivyo badala ya kujigamba eti hukupata madhara yo yote, jiangalie afya yako hasa ovarian na colorectal cancers 10 - 15yrs from now!
 
Jamani mie nilikuwaga nadindisha nyie! Siku hizi sijui nimekuwaje? Yaani zamani mashine inakuwa wima hadi unasikia maumivu. Hadi upige Chaputa mara 2 au 3 kwa siku ndo unapata unafuu,mara 1 tu haitoshi (na hapo umekula msosi wenye kerosene sijui kurasini).
 
Hongeraaa mnooo dear.
Thanks ilikuwa ni kwere,afu tulikuwa wachache,pcm tulikuwa 10,pcb walikuwa 11 na hgl walikuwa 15,imagine ndo a level yote,tulikuwa tunajuana hadi majina🤣🤣 sema kipindi Cha welcome form 1 na 5,na siku za joint mass ndio tulikuwa tunainjoi.
 
Subiri. Madhara yake utakuja kuyaona huko mbele ya safari. Kansa nyingi hukua polepole. Kwa hivyo badala ya kujigamba eti hukupata madhara yo yote, jiangalie afya yako hasa ovarian na colorectal cancers 10 - 15yrs from now!
Acha story hizo,ovary zangu ziko vizuri tu na nishabarikiwa madume wawili🙏
 
Back
Top Bottom