Chakula kuchanganywa na Mafuta ya taa kwa wanafunzi wa kike Sekondari

Sio kwenye shule za kike tuu bali ni almost boarding schools sote na hicho kitu ni cha kitambo mno!
UONGO

Si shule zote bali shule za kimasikini na zisizojielewa

Boarding miaka 8 shule 4
 
Acha story hizo,ovary zangu ziko vizuri tu na nishabarikiwa madume wawili🙏
Chunguza afya yako vizuri na mara kwa mara kuanzia 55+ yrs. I am talking from a scientific point of view wewe unaleta ushabiki na kujiliwaza hapa.

Tunaelekea kwenye health crisis kubwa sana huko mbele na adui mkubwa atakuwa ni kansa za aina mbalimbali pamoja na matatizo ya figo na moyo. Mafuta ya kupikia yamejazwa kwenye chupa za plastic na kuwekwa juani, mafuta ya taa (a well known carcinogen) kwenye vyakula, mtu hajanywa maji lakini anapiga energy drink hata tatu ili kukata kiu, GMOs...

Ukiendelea kubisha ni sawa. Si umeshazaa madume mawili bana? 😁😁😁🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Subiri. Madhara yake utakuja kuyaona huko mbele ya safari. Kansa nyingi hukua polepole. Kwa hivyo badala ya kujigamba eti hukupata madhara yo yote, jiangalie afya yako hasa ovarian na colorectal cancers 10 - 15yrs from now!
Kansa iko kila kona ya dunia, hata huo mchicha na nyanya au majj unayokunywa kila siku ukifuatilia vizuri upo uwezekano wa kupata kansa, sijui ulishachunguza maji unayopikia chakula yanatoka bomba la namna gani?,
 
Sawa Dokta ila hayo yalitokea miaka 14 iliyopita🤔
 
Kansa iko kila kona ya dunia, hata huo mchicha na nyanya au majj unayokunywa kila siku ukifuatilia vizuri upo uwezekano wa kupata kansa, sijui ulishachunguza maji unayopikia chakula yanatoka bomba la namna gani?,
Nakubaliana na wewe. Maana hakuna anayetilia maanani haya mambo. Ni jukumu la kila mmoja wetu kuchukua tahadhari kwa kiwango chake (kama inawezekana)

Na kuna ulazima gani wa kuweka mafuta ya taa (sumu) kwenye chakula cha watoto wetu? Tuepuke tunayoweza vinginevyo kila mtu apambane na hali yake...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikua zamani sana, sahivi class unakuta zaidi ya 40.
 

Mbona wanaweka tangia zamani? Sisi tumesoma Boarding 80s mafuta ya taa yalikuwepo.
 
Kansa iko kila kona ya dunia, hata huo mchicha na nyanya au majj unayokunywa kila siku ukifuatilia vizuri upo uwezekano wa kupata kansa, sijui ulishachunguza maji unayopikia chakula yanatoka bomba la namna gani?,

Correct ,vyakula tunavyokula vina kemikali za hatari sana kwa afya ,mboga za majani ndiyo shida wnamwagilia na maji yenye kemikali ,samaki wanahifadhiwa na kemikali za kuhifadhia maiti.
 
Hayo mafuta ya taa baada ya miaka 30-40 inalegeza tundu la kutolea uchafu hivyo kupelekea kuwashwa na mwisho wa siku kutamani kuliwa "jicho" iwe kwa jinsia ya kike hata ya kiume.

Kemeeni matumizi ya mafuta ya taa kwenye vyakula vya wanafunzi kokote nchini (pinga upinde kwa nguvu zote,)
 
Nyie watu ni waongo sanaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…