Mkuu vitafunwa vinakula pesa. Mimi nilicjukua option ya kubake mikate, na mandaz so ni kila baada ya siku 3.Hiyo elfu 3 mimi ndio vitafunwa vya breakfast kwa kujibaaana kama siku hiyo watoto hawajaenda shule.
Elf 3 pagumu tuwe wakwel πππ
Mia 7 unakula mihogo mi 5 na chai ya 200ππ..oya Intelligent businessman hapa kiulwel hutoboi hata mchana hufik.Hiyo mihogo 24/7 itakuja kuota tumboni
Wa matumizi kila kitu ni too muchArusha!? Kuna ugumu gani...
InakabaMia 7 unakula mihogo mi 5 na chai ya 200ππ..oya Intelligent businessman hapa kiulwel hutoboi hata mchana hufik.
Mihogo inaisha haraka sana tumboni π€£π€£
Nichukue sasa unipe hata u house boy, ili nile wali hapo kwakoπ€Hiyo mihogo 24/7 itakuja kuota tumboni
Kwani bado unapikia mkaa?Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Siyo kweli..ina maana mnakula.kilo nzima ya nyama kwa siku na mchele kilo 2?Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Nyie mmeshindwa kupangilia maisha yenu kwa hiyo muache kuwatisha vijana,Hizo nyama za kila siku mnafanya mashindano?Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
karoti nyanya na vitu gani sijui umeweka hapo haviwezi fika 5000 wacha ubabaishaji na huo mkaa wa5000 ni debe mnapikia wote kwa siku! wacha zako wewe kisha hiyo chai ya 5000 ni chai gani kwa watu wanne wacha ujanjanjaunja na mchele kilo mbili kwani mnachana mbao?Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Bro chizi ana chekesha ikiwa hatoki kwenu.Mia 7 unakula mihogo mi 5 na chai ya 200ππ..oya Intelligent businessman hapa kiulwel hutoboi hata mchana hufik.
Mihogo inaisha haraka sana tumboni π€£π€£
Upo mkuu cost ipo juu kdgo lile jiji.Arusha!? Kuna ugumu gani..
Get ready πNichukue sasa unipe hata u house boy, ili nile wali hapo kwakoπ€
Akale wali siyo mremboπGet ready π
We cheka tu, ila chizi ana chekesha ikiwa hatoki kwenu ππ€Get ready π
Kesho kutwa wakiichapaaa usiliee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnajilisha upepo tuu....30k unajikaba mwenyewe. Mpe wife 10k na chenji utaikuta pamoja na vyote ulivyovitaja.
Wewe na mkeo wote mna matatizo.Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia