Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
wali wa matandu ndio ni mtamu lakini mkaa 5000 jamaa anapigwa walahKwani bado unapikia mkaa?
Mbona wenzako tunatumia liten tu (10k)!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wali wa matandu ndio ni mtamu lakini mkaa 5000 jamaa anapigwa walahKwani bado unapikia mkaa?
Mbona wenzako tunatumia liten tu (10k)!
ChaiUnaishi kulingana na kipato chako mkuu! Kuna watu wanafamilia na wanaishi kwa 3000 kwa siku! Na maisha yanasonga! Hatuwezi kufanana
Kwa ulivyo mbahili kweli unaweza kula mihogo na majiNichukue sasa unipe hata u house boy, ili nile wali hapo kwako🤒
Sio naweza, ndo nakulaga hivyo🤒Kwa ulivyo mbahili kweli unaweza kula mihogo na maji
Acha kupotosha watu ww kila mmoja wetu ana hesabu zake. Naona umepiga mahesabu kama mtu aliekaa sebuleni kwa shemeji yake.... Mbali na hapo kama ww ni baba wa familia maendeleo kwako utayaskia kwenye bombaMaisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Utageuzwa menu/menyuMbona mi naishi kwa 700 per day
Mkuu mambo ni mahesabu tuMimi nina same family size budget yangu ni hii
-Nyama kilo 1 (10,000) nakula mara tatu so hapa nikiamua kula siku nzima nyama nakula 6k
Chai ya asubuhi wanapika vitafunwa so wakinunua unga kilo moja wanakula almost siku tatu vyapati zaidi ya 10. Unga/nanunua. Kilo tano 9000 so hapa nikimagazijuto ni kama 2000 per day.
- ubwabwa kilo moja = 2,000
- mkaa 2000
- korokocho zote (mafuta, chumvi, carrot n.k 3000)
Jumla 13,000.
Wali na mchicha wa nazi 🤣Akale wali siyo mrembo😀
Sasa ukipika wewe hiyo elf 3 itakutoshaje?😀😀😀😀😀 hizo egg chop labda nipike mwenyewe za kununua nehinehi
mihogo ya jero inanitosha 500
mchana ndizi 3 na mshika 1 2000
jioni tikitiki la 500
Hiyo 700 unasubiri jioni unywe supu ya ngozi ya ngome au utumbo wa kuku??Bro chizi ana chekesha ikiwa hatoki kwenu.
👉For real 700 Ina last day kabisa, na hata chai sinywi for real🤒
Tulia 😂😂We cheka tu, ila chizi ana chekesha ikiwa hatoki kwenu 😀🤒
Mstahi kwa leo mkuuAcha kupotosha watu ww kila mmoja wetu ana hesabu zake. Naona umepiga mahesabu kama mtu aliekaa sebuleni kwa shemeji yake.... Mbali na hapo kama ww ni baba wa familia maendeleo kwako utayaskia kwenye bomba
Jamaa kuna mahala anafeli au anatupigia hesabu za pdf. Kuweza kuhandle familia ni PhD toshaMkuu mambo ni mahesabu tu
Naona kawwaida..labda kwakuwa ni nyumbani.Upo mkuu cost ipo juu kdgo lile jiji.
Haya bhana🤒Tulia 😂😂
Daah!dagaa 500, mchicha 200, mkaa 1000, nyanya 500, kitunguu 200, hoho 100, ntwiri(karanga) 200. mafuta 500. ungaa kilo 1500.= 5000 na chenji inabaki