Chakula kwa siku Tsh 30,000

Acha uongo mimi hapa olasiti nimelima leshuu na maharage nanunua unga tu wa buku na leshuu mchemsho bila mafuta natumia buku kwa siku.
Kuna unga wa buku kweli acha matani basi . Asubuhi unga na maharage mchana unga na maharage ijioni unga na maharage hakuna nyanya vitungu,viungo,chumvi,mafuta,maji yakunywa ,maziwa ,majani ya chai,so wewe huna familia kisa umelima maharage acha matani bado matunda,nyanya 2 ni buku au elfu mbili,hujaamua ununue kuku wakueleweka 25 to 30
 
HUu ni mtego huu.
Mtu yeyote anayetumia iPhone hana mawazo kama haya yenye ushawish mkubwa kias hiki!! 😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…