Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Afu tatu mbona inatosha sana per day. Atuangalii tumekula milo mingapi kikubwa ni siku ipite mkono umeenda kinywani.Tufanye familia ya mke na mume tu
Mchanganuo wa hiyo 3000 unakuaje kuanzia asubuhi hadi usiku?
Robo mchana robot usiku.Wa 4 mkuu.
Ila mchele kg 2 bado kubwa ikiwa kilo 1 sawa kila mtu ana kula robo kilo.
😂 napajua anapochukuliaga ngoja tufanye fitna tumuamishe yule maza paleHiyo mihogo 24/7 itakuja kuota tumboni
Arusha hakuna maisha ya gharama kama watu wengi wanavyoaminishwa mkuuJe laki moja per day njoo Arusha utahama tu
mkaa wa tsh 5,000 labda huo mchele uwe wa mawe. Mkaa wa elfu 2 unatosha kuchemsha nyama na kumaliza kupika kabisa.karoti nyanya na vitu gani sijui umeweka hapo haviwezi fika 5000 wacha ubabaishaji na huo mkaa wa5000 ni debe mnapikia wote kwa siku! wacha zako wewe kisha hiyo chai ya 5000 ni chai gani kwa watu wanne wacha ujanjanjaunja na mchele kilo mbili kwani mnachana mbao?
Kilo moja watu wanne mchana, usiku mnamalizia kilo nyingineSiyo kweli..ina maana mnakula.kilo nzima ya nyama kwa siku na mchele kilo 2?
Hivyo vingine ni anasa tuKuna unga wa buku kweli acha matani basi . Asubuhi unga na maharage mchana unga na maharage ijioni unga na maharage hakuna nyanya vitungu,viungo,chumvi,mafuta,maji yakunywa ,maziwa ,majani ya chai,so wewe huna familia kisa umelima maharage acha matani bado matunda,nyanya 2 ni buku au elfu mbili,hujaamua ununue kuku wakueleweka 25 to 30
Mshahara ??siriyakoooMaisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Ukifikilia hayo hutoishi,Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Wenye familia wamenielewakaroti nyanya na vitu gani sijui umeweka hapo haviwezi fika 5000 wacha ubabaishaji na huo mkaa wa5000 ni debe mnapikia wote kwa siku! wacha zako wewe kisha hiyo chai ya 5000 ni chai gani kwa watu wanne wacha ujanjanjaunja na mchele kilo mbili kwani mnachana mbao?
Mnakula chakula kingi sana. Yaani kilo 2 ya mchele kwa siku kwa familia yenye watoto 2?Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Hapa umetudanganya mkuuMkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hayo ni mahesabu ya familia yanguJamaa kuna mahala anafeli au anatupigia hesabu za pdf. Kuweza kuhandle familia ni PhD tosha
Kama pesa mnazo.siyo kama za mleta madaKilo moja watu wanne mchana, usiku mnamalizia kilo nyingine
Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia