Chakula kwa siku Tsh 30,000

Chakula kwa siku Tsh 30,000

karoti nyanya na vitu gani sijui umeweka hapo haviwezi fika 5000 wacha ubabaishaji na huo mkaa wa5000 ni debe mnapikia wote kwa siku! wacha zako wewe kisha hiyo chai ya 5000 ni chai gani kwa watu wanne wacha ujanjanjaunja na mchele kilo mbili kwani mnachana mbao?
mkaa wa tsh 5,000 labda huo mchele uwe wa mawe. Mkaa wa elfu 2 unatosha kuchemsha nyama na kumaliza kupika kabisa.
Viungo vya mboga kwa haraka 1000-1,500
Chai ya elfu 5 nayo hapana.
Alafu kama uhakika wa milo mitatu upo yanini kuipa chai gharama kubwa?
 
Kuna unga wa buku kweli acha matani basi . Asubuhi unga na maharage mchana unga na maharage ijioni unga na maharage hakuna nyanya vitungu,viungo,chumvi,mafuta,maji yakunywa ,maziwa ,majani ya chai,so wewe huna familia kisa umelima maharage acha matani bado matunda,nyanya 2 ni buku au elfu mbili,hujaamua ununue kuku wakueleweka 25 to 30
Hivyo vingine ni anasa tu
 
Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Mshahara ??siriyakooo
 
Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Ukifikilia hayo hutoishi,
..🤷🤷
 
Maisha ni yaleyale

Kilo Michele 2300 unapikwa jioni na chai asb hiyo.

Sukari 3500 inakaa wiki.

Dagaa wengi unachukua kids kids

Nyanya kwa wingi

Tunguska na wese chunv kwa mbali.

Mkaa unaweka na jiko la kuni.

Maisha yanakwenda..ukiona watu wanamagorofa wanalo eneo la kupikia kuni
 
Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Mnakula chakula kingi sana. Yaani kilo 2 ya mchele kwa siku kwa familia yenye watoto 2?

Ndio maana mmekuwa vipipa!
 
Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia

[emoji848] haya mahesabu nimakali mnoo
 
Back
Top Bottom