Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Hata kula kunahitaj mipango kamandaUnapangaje wakati kula ni lazima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kula kunahitaj mipango kamandaUnapangaje wakati kula ni lazima?
Kula ugali tembele!Na vidonda vya tumbo unamuachia nani
Wana akili lakin watoto wa huko? Maana sie wengine hatuangaliagi matako tu!!Kaoe huko😂🤒
wacha kujiendekeza kwani wewe ndio wakwanza kua na familia? ni nani ambae hana familia unafikiri au ni kiumbe gani kisicho na familia labda.Wenye familia wamenielewa
MamboToka hapa ndio maana huna sera
Hilo linawezekana kama gesi ipo.Achana na familia ya mke na mume.
Yeye mwenyewe tu aje atueleweshe huo mchanganuo wa pesa hiyo kwa asubuhi mpaka jioni.
Kilo moja ya unga mchana na usiku, 1000/= plus dagaa wa 1000/= nyanya za 500/= 500 ya vitafunwa mkuu!Tufanye familia ya mke na mume tu
Mchanganuo wa hiyo 3000 unakuaje kuanzia asubuhi hadi usiku?
Huo ndo ukwel arusha vyakula vya kununua sio bei kama unavyo aminisha watu .labda hotel za mjini ila kama una pika kama mtoa mada sio gharama .Hujakosea kuitwa mr devil acha uongo hakuna nyanya inayouzwa 500 unabahatisha sana huko huko unapodai ni rahisi
Uwongo huu. ... ukiongeza mchele kidogo, mtaji wa ma ntilie.Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Wewe mwenyewe yawezekana Ni zao la "mseto"....Dadeki,mwanaume unataka ukute nyama,wali wa kilo mbili na mazagazaga mengine,kwa 10k,no wonder hapo familia ikawa mseto.
Kwamba 2Kg za mchele ni nyingi sana kwa watu 6?Familia ya watoto wawili jumlisha wazazi wawili na dada mle kg 2?,hauko seriuos aisee
Mkuu sisi tulishapita huko.....kuchapiwa ni suala la kawaida sana kwenye Ndoa.Kesho kutwa wakiichapaaa usiliee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"Michele kilo 2, 6000"! Mkeo anakuibia rudi darasani.Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Hata Dar labda wanamatumbo ya kuku.Unaishi mkoa gani?
Kwa Mbeya hiyo ni pesa kubwa sana.
😂😂😂Kula kwa urefu wa kamba yako...sasa kamba yako inafikia maharagwe na mboga mboga ww unaivuta mpk kwny maini itakatika
Hiyo elfu 30000 umependa mwenyewe kulingana na Hali Yako ya uchumi,Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Familia ya watoto 2 mnakula nyama kilo moja na wali kilo 2 kwa siku?Maisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Some whom I met, naona ni Akili kubwa.Wana akili lakin watoto wa huko? Maana sie wengine hatuangaliagi matako tu!!