Acha ujinga kwahiyo Tanga na Mtwara hakuna bandari? watu wakanda maalum mizigo yao mingi inapitia Sirari kupitia Mombasa Port.Endelea kukalili na Dar yako watu wapo njombe,Iringa,Tunduma na Mpanda wanapiga pesa.
Sent from my D6503 using
JamiiForums mobile app