Chalamila hana upeo wala uwezo wa Kuongoza Dar, bora hata angepewa Aggrey Mwanri

Chalamila hana upeo wala uwezo wa Kuongoza Dar, bora hata angepewa Aggrey Mwanri

Watu wa Dar es salaam sijui huwa mnajionaje yaani ni kama ninyi mnatoka nchi nyingine tofauti na Tanzania, kama kaongoza wanachi wa Mbeya, Mwanza, Kagera ninyi mna tofauti gani na hao Watanzania wa hiyo mikoa? Acheni ulimbukeni.. kama mliongozwa na Makala kwa nini Chalamila asiwaongoze kwanza Makala anaingia mara 100 kwa Chalamila.
 
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.

Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.


Kama unapinga hebu njoo na hoja yako tukusikilize; usipingepinge tu bila facts. Huyu mwamba yupo vizuri sana kisayansi.
 
We are exceptional. Mkiamka asubuhi la kwanza mnataka kujua wa dar wana habari gani kabla hata ya kutaka kujua ya kwenu.

Tukifunga mipaka yetu msiingie huku hata sabuni ya kuogea mtakosa.
Acha kukariri maisha we mjinga tembea uone kwahiyo viwanda vya sabuni Moro,Dom,Arusha havipo?tafuta pesa huo ujinga haukusaidii.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Hapo tukifungua inbox ya kismart tochi chako kimejaa msg kibao ukimuomba dada yako akuombee kwa shemeji yako utumiwe nauli uje dar kushangaa magorofa.

Unatoa kila ahadi kuwa ukija huku utafanya kazi zote za nyumbani as long as na wewe uwepo dar.
Dar kunanini cha ajabu? nimekwambia acha kukariri ujinga haukusaidii.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Dodoma Majengo,Mishe zote ziko Dar! Hata Mama kutwa nzima Yuko Zake Magogoni na wageni wake wa kimataifa, labda akitaka kukutana na Locals ndiyo anachungulia Dom kidogo!!!
Kwahiyo wengine hawana mishe zakazi sindio?endelea kukalili maisha watu wanapiga pesa umekalia upumbavu naujinga.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Watu wa Dar es salaam sijui huwa mnajionaje yaani ni kama ninyi mnatoka nchi nyingine tofauti na Tanzania, kama kaongoza wanachi wa Mbeya, Mwanza, Kagera ninyi mna tofauti gani na hao Watanzania wa hiyo mikoa? Acheni ulimbukeni.. kama mliongozwa na Makala kwa nini Chalamila asiwaongoze kwanza Makala anaingia mara 100 kwa Chalamila.
Niwapumbavu sana halafu hawana lolote lamaana.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Humjui vizuri Chalamila,huyu jamaa ni mtendaji mzuri sana tatizo lake ni Pombe tu na maneno yanayomtoka ovyo....... unadhani asingekuwa mchapakazi Samia angemrudisha? Pamoja na mapungufu yake ila ni mchapakazi na msikivu sana,mtembelee siku ofisini kwake uongee naye ni mtu tofauti kabisa
 
Kwahiyo wengine hawana mishe zakazi sindio?endelea kukalili maisha watu wanapiga pesa umekalia upumbavu naujinga.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Haya ni Muzungumzo baada ya habari Mkuu usikariri sana kua kila Mtu ana shida ya kutafuta pesa, wengine pesa zinawatafuta wao popote walipo !! Usikasirike Mkuu!!!
 
Back
Top Bottom