Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unadhani Tanzania ni huko kwenu matombo?Watu wa Dar mnaona kama ndiyo Tanzania
Nchi sasa iko Dodoma
Duh..kuleni hizo sabuni sasa msiwe mnalialia bei ya vyakula kupanda.We are exceptional. Mkiamka asubuhi la kwanza mnataka kujua wa dar wana habari gani kabla hata ya kutaka kujua ya kwenu.
Tukifunga mipaka yetu msiingie huku hata sabuni ya kuogea mtakosa.
Kama mzee Makamba aliweza, Challa atashindwaje? Mi' naona wanafanana hao! Wote ni WASANII hao!Uongozi wa sasa ni Comedy tu. Challa ataweza sana mkoa umekaa Kisanii mno huu.
Kabisa tena huku ndiyo kila kituSasa unadhani Tanzania ni huko kwenu matombo?
Kwenye kitabu cha THE PRINCE ,Machaveli anasema ,ukitaka kujua kiongozi ni mtu wa aina gani basi tazama wale wanaomzungukaKila mtu anateua wala anaofanana nao kiupeo. Hakuna la ajabu.
Hivi wewe ni mzaramo!We are exceptional. Mkiamka asubuhi la kwanza mnataka kujua wa dar wana habari gani kabla hata ya kutaka kujua ya kwenu.
Tukifunga mipaka yetu msiingie huku hata sabuni ya kuogea mtakosa.
We unawaza sabuni kunguni nyie wa dar sisi tukisema hatuwauzii mchele viazi chps ugali mmeishaaa mtaregeza sauti mpaka mkaukeWe are exceptional. Mkiamka asubuhi la kwanza mnataka kujua wa dar wana habari gani kabla hata ya kutaka kujua ya kwenu.
Tukifunga mipaka yetu msiingie huku hata sabuni ya kuogea mtakosa.
Afu mbona we wa mkoan tu sema majigambo na mashauzi ya kinanishabebyHapo tukifungua inbox ya kismart tochi chako kimejaa msg kibao ukimuomba dada yako akuombee kwa shemeji yako utumiwe nauli uje dar kushangaa magorofa.
Unatoa kila ahadi kuwa ukija huku utafanya kazi zote za nyumbani as long as na wewe uwepo dar.
HeheehKabisa tena huku ndiyo kila kitu
Msitake kuchagua chagua hadi wa kuu wa mikoa Dar ni mkoa tu kama Simiyu
ukute baba yako mzazi ni mzaramo pia halafu unashupaza shingo kutukana baba zako.Hivi wewe ni mzaramo!
Hakuna mzaramo anayechagua mtu wa kuongoza mkoa wao ila nyinyi kenge wa kuja.
We unawaza sabuni kunguni nyie wa dar sisi tukisema hatuwauzii mchele viazi chps ugali mmeishaaa mtaregeza sauti mpaka mkauke
unajitekenya na kucheka mwenyewe.Afu mbona we wa mkoan tu sema majigambo na mashauzi ya kinanishabeby
Umeelewa kilichoandikwa?ukute baba yako mzazi ni mzaramo pia halafu unashupaza shingo kutukana baba zako.
Huyo mkurya unaeaminishwa ni baba yako kapewa zigo tu alilee
[emoji23][emoji23] hakikaWe unawaza sabuni kunguni nyie wa dar sisi tukisema hatuwauzii mchele viazi chps ugali mmeishaaa mtaregeza sauti mpaka mkauke
Wivu tuuZaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.
Uwezo wa fikra ni mdogo mno.
Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Uzi tayari.
Sio kwamba hatapaweza.kinachowashinda ma RC wengi Dar huo mji una wafanya biashara wengi wenye pesa ndefu,sasa kukununua ni kitu kidogo sana,tatizo ni kuwa ukikubali tu kununuliwa jiandae kuendeshwa nao na mwishowe utashindwa kuongoza,labda atokee mtu ambaye hatakuwa na tamaa ya pesa,vinginevyo watabadilishwa sana...Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.
Uwezo wa fikra ni mdogo mno.
Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Uzi tayari.
Chala,Makamba,Mwanri lao mojaKama mzee Makamba aliweza, Challa atashindwaje? Mi' naona wanafanana hao! Wote ni WASANII hao!
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Wewe unaakili kuliko taasisi ya urais?,acha tabia za kimalayamalayaZaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.
Uwezo wa fikra ni mdogo mno.
Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Uzi tayari.