Chalamila hana upeo wala uwezo wa Kuongoza Dar, bora hata angepewa Aggrey Mwanri

Chalamila hana upeo wala uwezo wa Kuongoza Dar, bora hata angepewa Aggrey Mwanri

Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.

Uzi tayari.
Kwanini usiseme upewe wewe hiyo kazi badala ya kuweka jina la Mwanri hapo?
 
Tuseme tu ukweli watu wa dar wana wivu sana wanapoongozwa na mtu kutokea mikoani na pengine humfanyia fitina za kila namna ili anyang'anywe tonge. Mbona kwa Makalla hamkulalamika hivyo? au kwa kuwa ni born town? Acheni wivu wa kikike.

Naona mmeshaanza kumsagia kunguni mapema kabisa na hoja mnazotoa hazieleweki ni wivu tu umewajaa, kwa Makonda na penyewe mlipiga kelele sana kisa ni wa koromije.

Mbona kwa born town wenzenu hampigi kelele? Mkiletewa mtu tu wa mikoani mnaanza kelele za kila aina acheni wivu mjali uwezo wa mtu haijalishi katoka kanda ipi Tanzania ni ya wote sio ya watu wa dar pekee yao.

Au huwa mnaogopa mchaka mchaka wa watu wa mikoani? Maana sisi wa mikoani tunachapa kazi kweli kweli sio kama nyie watu wa dar mnavyopenda umbea kuliko kazi.
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.

Uzi tayari.
 
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.

Uzi tayari.
Achaa chuki mpe muda! Mtu hata ajaanza kazi waanzaa kumtoa kasoro! Chalamila akienda sawa na Wana DSM Kama Konda Boy hatuna shida nae! Amosi alikua sound nyingi vitendo less,achaa akapambane na Machinga wa Mwanza Kina Ngosha!!!
 
We are exceptional. Mkiamka asubuhi la kwanza mnataka kujua wa dar wana habari gani kabla hata ya kutaka kujua ya kwenu.

Tukifunga mipaka yetu msiingie huku hata sabuni ya kuogea mtakosa.
Na wanavyojua kunuka vikwapa Sasa,Beberuu anasubiri!!!
 
Tunataka vyeo vyote kisiasa wapigiwe kura.

Bring back our Rasimu ya Warioba 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
 
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.

Uzi tayari.
Tulia dogo taaaratibu
 
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.

Uzi tayari.
Utasemaje mtu hawezi kazi Dar wakati hajafanya kazi hata siku moja?
 
Watu wa Dar mnaona kama ndiyo Tanzania
Nchi sasa iko Dodoma
Dodoma Majengo,Mishe zote ziko Dar! Hata Mama kutwa nzima Yuko Zake Magogoni na wageni wake wa kimataifa, labda akitaka kukutana na Locals ndiyo anachungulia Dom kidogo!!!
 
Hapo tukifungua inbox ya kismart tochi chako kimejaa msg kibao ukimuomba dada yako akuombee kwa shemeji yako utumiwe nauli uje dar kushangaa magorofa.

Unatoa kila ahadi kuwa ukija huku utafanya kazi zote za nyumbani as long as na wewe uwepo dar.
Akisha zoweya Dar Sasa utamtaka na Mafuta ya kubadilsha ngozi kutoka Kariakoo anayo kabatini kwake!!
 
We unawaza sabuni kunguni nyie wa dar sisi tukisema hatuwauzii mchele viazi chps ugali mmeishaaa mtaregeza sauti mpaka mkauke
Si siku nyingi sana nyinyi na Bashe wenu si mlisema mnauza mazao yenu huko Kenya!? Sasa kila Mtu ashinde mechi zake!!
 
Huyo wanamtafutia mlango wa kutokea na hapo amepatikana maana hatodumu kwenye hiyo nafas.
 
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.

Uzi tayari.
CCM nzima hakuna mwenye akili or to use soft language, hakuna aliye serious na anachokifanya
 
Back
Top Bottom