jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Dar kuna Bahari maajabu ya Mungu hayo!! Au wwe wataka maajabu gani vile!!??Dar kunanini cha ajabu? nimekwambia acha kukariri ujinga haukusaidii.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar kuna Bahari maajabu ya Mungu hayo!! Au wwe wataka maajabu gani vile!!??Dar kunanini cha ajabu? nimekwambia acha kukariri ujinga haukusaidii.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Acha ujinga,kwani Kilwa hakuna Bhari?Dar kuna Bahari maajabu ya Mungu hayo!! Au wwe wataka maajabu gani vile!!??
Hata Mimi nimejiuliza sana...Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.
Uwezo wa fikra ni mdogo mno.
Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Machoko wanafanya Ustadhi awe na ajira.Kuna kiongozi amezaliwa anajua kila kitu au ni kujifunza pia sehemu ya kazi.
?
Unaweza kushangazwa huyo jamaa akauweza huo mkoa vilivyo kuliko wote.
Mpe muda
Sawa mkuu, ñimekuelewa sana!Niko kanda ya miamba ambako watu mashujaa kuzaliwa
Kwani Chalamila anatofauti ipi? nadar kunanini cha ajabu hadi asiweze?Hata Mimi nimejiuliza sana...
Ni kigezo gani hasa kimetumiwa na washauri wa Rais kumpa mtu kama Chalamila kuongoza mkoa wenye watu zaidi ya milioni 7? Ni kujuana? Rushes? Urafiki au kweli kigezo cha uwezo kimezongatiwa?
Hizi nafasi za mtu mmoja kupewa uwezo wa kuteua watu wake, shida yake ndiyo hii. Ipo siku Rais aweza kuteua hata nguruwe awe kiongozi wenu!!
Mwenyewe simjui pia, huwa namuona kama vile nusu mzima, nifahamishe mazuri yakeHumjui Chalamila wewe.
Kwa taarifa yako...Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.
Uwezo wa fikra ni mdogo mno.
Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Chalamila akili kubwa, kawatuliza Wahaya walivyo wajuajiHumjui Chalamila wewe.
Mtu ameshastaafu utumishi Wewe unataka aendelee kuteuliwa, hizi ni akili za wapi?Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.
Uwezo wa fikra ni mdogo mno.
Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Aisee Dodoma na Dar kweli? Duuuh mnapenda ligi ninyi..Watu wa Dar mnaona kama ndiyo Tanzania
Nchi sasa iko Dodoma
Hakuna kitu inapita Tanzania haipiti Dar, hata jf office zipo dar, kwa Tanzania dar ni Tooooop topSasa unadhani Tanzania ni huko kwenu matombo?
Wewe hata nyumba yako (kwanza huna) imekushindaZaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.
Uwezo wa fikra ni mdogo mno.
Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
'Mama' alisema amemrejesha kumpima. Inawezekana kamleta Dar ili achinjiwe baharini maana hata alikotoka Wananchi tunashangilia. Uwezo wake kwa ujumla ni mdogo. He is a comedian.Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.
Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.
Uwezo wa fikra ni mdogo mno.
Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Hii stori alikusimulia nani? Umesoma kwenye magazeti ya shigongo, daslama ndio mkoa ambao watu hawalali daily...Thubutu yako!
Mwanaume anayejiamini hawezi lazwa mapema na panya rodi
Acha ujinga kwahiyo Tanga na Mtwara hakuna bandari? watu wakanda maalum mizigo yao mingi inapitia Sirari kupitia Mombasa Port.Endelea kukalili na Dar yako watu wapo njombe,Iringa,Tunduma na Mpanda wanapiga pesa.Hakuna kitu inapita Tanzania haipiti Dar, hata jf office zipo dar, kwa Tanzania dar ni Tooooop top