Chalamila hana upeo wala uwezo wa Kuongoza Dar, bora hata angepewa Aggrey Mwanri

Chalamila hana upeo wala uwezo wa Kuongoza Dar, bora hata angepewa Aggrey Mwanri

Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.

Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Hata Mimi nimejiuliza sana...

Ni kigezo gani hasa kimetumiwa na washauri wa Rais kumpa mtu kama Chalamila kuongoza mkoa wenye watu zaidi ya milioni 7? Ni kujuana? Rushes? Urafiki au kweli kigezo cha uwezo kimezongatiwa?

Hizi nafasi za mtu mmoja kupewa uwezo wa kuteua watu wake, shida yake ndiyo hii. Ipo siku Rais aweza kuteua hata nguruwe awe kiongozi wenu!!
 
Hata Mimi nimejiuliza sana...

Ni kigezo gani hasa kimetumiwa na washauri wa Rais kumpa mtu kama Chalamila kuongoza mkoa wenye watu zaidi ya milioni 7? Ni kujuana? Rushes? Urafiki au kweli kigezo cha uwezo kimezongatiwa?

Hizi nafasi za mtu mmoja kupewa uwezo wa kuteua watu wake, shida yake ndiyo hii. Ipo siku Rais aweza kuteua hata nguruwe awe kiongozi wenu!!
Kwani Chalamila anatofauti ipi? nadar kunanini cha ajabu hadi asiweze?

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.

Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Kwa taarifa yako...
Chalamila atawapruvu wrong.
Jamaa anajua fika Dar ni nzito.

Nimemsikiliza akihojiwa na Clouds nakuhakikishia muda mfupi ujao Dar itajaa furaha na mambo yataenda...tunza hii post.
 
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.

Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Mtu ameshastaafu utumishi Wewe unataka aendelee kuteuliwa, hizi ni akili za wapi?
 
Huu ushauri hata rais akipitia ataona ni kweli kafanya makosa. Mwanri alikuwa mtu sahihi
 
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.

Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
Wewe hata nyumba yako (kwanza huna) imekushinda
 
Zaidi ya comedy za kipumbavu Chalamila hajakuwa na uwezo wa kusimamia Dar.

Mtu anasimama kuhamasisha ulevi, anahamasisha vibaka ili polisi wawe na kazi.

Uwezo wa fikra ni mdogo mno.

Bora hata Aggrey Mwanri alikuwa na uthubutu katika kusimamia maagizo yake. Angeweza kuimudu Dar.
'Mama' alisema amemrejesha kumpima. Inawezekana kamleta Dar ili achinjiwe baharini maana hata alikotoka Wananchi tunashangilia. Uwezo wake kwa ujumla ni mdogo. He is a comedian.
 
Hakuna kitu inapita Tanzania haipiti Dar, hata jf office zipo dar, kwa Tanzania dar ni Tooooop top
Acha ujinga kwahiyo Tanga na Mtwara hakuna bandari? watu wakanda maalum mizigo yao mingi inapitia Sirari kupitia Mombasa Port.Endelea kukalili na Dar yako watu wapo njombe,Iringa,Tunduma na Mpanda wanapiga pesa.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom