Sheria kama zinaleta society disorganization zinaendelea kufuatwa?Mkuu kwani hujui sheria zinatungwa wapi?
Hawa wakuu wa mikoa kazi Yao ni kutekeleza na kusimamia sheria zilizotungwa (kuanzia bungeni)
Anyway tutafurahia watu tule Bata vizuri lkn haya mambo ya kuchekea viongozi wanapovunja/ kujaribu kunja shria/ kutofuata sheria, tunajiandalia bomu la nyukiria la kutuangamiza sisi wenyewe.
Bia huleta vibe, bakurutu / zilipendwa mixer na ringala ndo vionjo muhimu ulambapo beer, bia pasipo vibe ni sawa na kuchangia harusi ya kisabato unaambulia mango tropicalHii ndio Kauli aliyoitoa leo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dr. Chalamila kwa watu wote, kwamba Kunywa bia kimya kimya ni sawa na kunywa Juice.
Aliyeelewa atusaidie kufafanua ili tuanze kuchangia.
Bia huleta vibe, bakurutu / zilipendwa mixer na ringala ndo vionjo muhimu ulambapo beer, bia pasipo vibe ni sawa na kuchangia harusi ya kisabato unaambulia mango tropicalHii ndio Kauli aliyoitoa leo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dr. Chalamila kwa watu wote, kwamba Kunywa bia kimya kimya ni sawa na kunywa Juice.
Aliyeelewa atusaidie kufafanua ili tuanze kuchangia.
Tena ya moto ..sio cold one🤣mango tropical
Sasa tatizo ni mtoto au mama🤔🤔Aliambiwa na mama akue na aache utoto lakini bado tunashuhudia utoto ndani yake.
Acha ujuda manNyie walokole kama hampendi bia waacheni wanaozinywa wazinywe, kama ni kelele mbona mjini kila kitu kinapiga kelele, hata watoto wenu nyumbani wakilia nao wanapiga kelele pia.
Wazuie makelele ya magari na mabodaboda, kuna magari yanatoa moshi na yanapiga makelele na honi ovyo, hayo ndio hasa yanasumbua ila mziki sio kelele, huko ni kuwaonea wivu wanywaji.NEMC wanapambana kuzuia unnecessary Makelele yeye ndo kwanza anahamasisha. Mgema akisifiwa Tembo hulitia Maji.
Yeye mwenyewe si mlevi? Mi nasema RC yuko Arusha, John Mongela hawa wengine ni wahuni tuKasema leo, Dar ni jiji la biashara, wasiopenda kelele waende Dodoma, watu watafute pesa, wale bia, mziki mnene. Maana wanachangia maendeleo ya jiji.
Kweli kabisa mkuu hata mimi nimeshangaa. Maana NEMC wanachofanya ni kqa mujibu wa sheria zilizopitishwa na bunge lakini kumbe mkuu wa mkoa anaweza zuia. Sasa kuna haja gani ya kuwa na taasisi ambazo hazina meno si kuchoma kodi za watanzania tu.Sema viongozi wetu bana Sheria wanapitisha wenyewe zikianza kutekelezwa wanakuja mbio mbio kuzuia. Tukichekea huu uhuni wa viongozi kugomea Sheria/ kanuni ipo siku li mtu litakatalia madarakani na hamtakua na chakulifanya.
Hata akina kagame, museveni, Mugabe n.k msifikiri waliruka tu mpaka kubadili katiba/sheria no!
Yeye mwenyewe si mlevi? Mi nasema RC yuko Arusha, John Mongela hawa wengine ni wahuni tu
Huyu jamaa nadhani azimtoshi tu hili nitatizo la wanasiasa kupinga wataalamu na kupinga sheria za nchi kwa kigezo cha maendeleo wanao ishi dar sio watu?Kasema leo, Dar ni jiji la biashara, wasiopenda kelele waende Dodoma, watu watafute pesa, wale bia, mziki mnene. Maana wanachangia maendeleo ya jiji.
Alipo pelekwa kagera akakuta hakuna sitendi wala soko akaangusha lawama kwa wasomi wa mkoa kagera Chalamila akili hazimtoshiHii ndio Kauli aliyoitoa leo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dr. Chalamila kwa watu wote, kwamba Kunywa bia kimya kimya ni sawa na kunywa Juice.
Aliyeelewa atusaidie kufafanua ili tuanze kuchangia.