Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,795
- 9,143
RC uwe makini wanaolalamika wakiona unajibu jeuri watajichukulia sheria mkononi..Sijui kuna shida gani kufuata sheria za nchi..Unamwambiaje mtu ahame kwenye nchi yake???NEMC wanapambana kuzuia unnecessary Makelele yeye ndo kwanza anahamasisha. Mgema akisifiwa Tembo hulitia Maji.