ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ujumbe umeilenga Nemc.Kasema leo, Dar ni jiji la biashara, wasiopenda kelele waende Dodoma, watu watafute pesa, wale bia, mziki mnene. Maana wanachangia maendeleo ya jiji.
Kuna viwango vya kelele vilivyowekwa na Nemc kisheria, ni vyema mzingatie hili.Nyie walokole kama hampendi bia waacheni wanaozinywa wazinywe, kama ni kelele mbona mjini kila kitu kinapiga kelele, hata watoto wenu nyumbani wakilia nao wanapiga kelele pia.
Ndo alivyoumbwa, hawezi kua anavimbisha makusudiBora huyu kuliko yule mvimba mashavu Amosi makarai, mda wote kavimba mashavu as if kabugia viazi vya moto
Sasa watu wa Dar nimepata RC,Nemc mkopo?
Ndo alivyoumbwa, hawezi kua anavimbisha makusudi
Sasa watu wa Dar nimepata RC,Nemc mkopo?
Hii kichwa inajijua yenyewe 😅😅😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila chalamilaa aisee...!!
Sasa watu wa Dar nimepata RC,Nemc mkopo?
Excellent point.Sema viongozi wetu bana Sheria wanapitisha wenyewe zikianza kutekelezwa wanakuja mbio mbio kuzuia. Tukichekea huu uhuni wa viongozi kugomea Sheria/ kanuni ipo siku li mtu litakatalia madarakani na hamtakua na chakulifanya.
Hata akina kagame, museveni, Mugabe n.k msifikiri waliruka tu mpaka kubadili katiba/sheria no!