Chalamila: Huwezi kukwepa kelele Dar es Salaam

Chalamila: Huwezi kukwepa kelele Dar es Salaam

Enhe, alishinda kwa kishindo uchaguzi wa kidemokrasia wa 1933...

Kisha akajitangaza mtawala mkuu wa Ujerumani...

Alishinda kwa kishindo uchaguzi ili awe nani, mtawala naibu ?
Hiyo ni summary. Kasome moja ya biography za Hitler upate details zote. Alishinda uchaguzi kwa kishindo na kuwa Chancellor of Germany. Hicho ndicho cheo rasmi cha mkuu wa serikali ya Ujerumani. Kama vile Prime Minister of UK.

Yeye akafanya mchakato wake wa kijanja na kujiita “führer”.
 
Sema viongozi wetu bana Sheria wanapitisha wenyewe zikianza kutekelezwa wanakuja mbio mbio kuzuia. Tukichekea huu uhuni wa viongozi kugomea Sheria/ kanuni ipo siku li mtu litakatalia madarakani na hamtakua na chakulifanya.

Hata akina kagame, museveni, Mugabe n.k msifikiri waliruka tu mpaka kubadili katiba/sheria no!
Sheria na busara mzee.

Hii nchi ya kijamaa
 
Alipoteuliwa tu Dar nikajua ni mkakati walioupanga kuwadhibiti NEMC
Hakuna nchi yenye sheria mbovu kama hii

Halafu mmekazana mnataka Katiba
Wanasigina iliyopo na sheria zake itakuwa hiyo mpya

Wanaapa kwa vitabu vya dini, unafiki tu
Liko wazi kaletwa kwa ajili ya kelele
Shrria na busara.

Hata mahakamani kuna " wisdom of the court"
 
Ukiona sheria zinavunjwa na viongozi wenyewe basi ujue kuna tatizo kubwa sana
Ndio maana unaona CAG anatoa ripoti wao wanacheka tu

Na hii inapelekea mpaka wananchi nao wanafanya mambo ya ajabu kabisa crimes za kutisha na maadili mabovu kama Kaliua huko wale watoto mapacha aliechunwa ngozi na kuatwa ulimi
Unafikiri ni mara yao ya kwanza?
Kuna mwanasiasa amesema nchi inaongozwa na watu ambao hawakuchaguliwa na wananchi
 
Dar Es Salaaam bila Paul Makonda, Bila Chalamila sio Daressalaaa.
Tunahitaji kelele na starehe mbalimbali katika mkoa wa Daresalaam[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
 
Vitu vngne havielewek unataka tufanyeje sasa
Unatuambia ama unatuuliza ar u millard ayo
Kuna vtu vngne watu wot washavskia then mtu unaprint sjui n marudio ama vp
 
Je, wanapotunga sheria wanatushirikisha?au wanatunga kutukandamiza m naamini hakuna sheria imewekwa kumnufaisha mwananchi bali kutukandamiza kwasababu hakuna maoni ya wananchi bali ni maoni yao na kwa maslahi yao
Una hakika sheria hii ya mazingira haikushirikisha maoni ya wananchi au ulikuwa porini bado enzi hizo?

Mchakato wake ulianza kwenye mwaka 2001/2002 na ulishirikisha makundi mbali mbali ya jamii (akina Prof Kabudi ndiyo walisimamia hili). Muswada wa sheria ulijadiliwa pale Karimjee hall na ulikuwa wazi kwa wananchi.

Sheria yenyewe ilisainiwa mwaka 2004 na kuanza utekelezaji wake mwaka 2005 baada ya baadhi ya kanuni kutengenezwa.

Kanuni za kelele na mitetemo zilitengenezwa na kupitishwa mwaka 2015. Ikiwa hukushiriki wewe haina maana kwamba wengine hawakushiriki.
 
Vitu vngne havielewek unataka tufanyeje sasa
Unatuambia ama unatuuliza ar u millard ayo
Kuna vtu vngne watu wot washavskia then mtu unaprint sjui n marudio ama vp
Tajiri mbona makasiriko tena [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Sema viongozi wetu bana Sheria wanapitisha wenyewe zikianza kutekelezwa wanakuja mbio mbio kuzuia. Tukichekea huu uhuni wa viongozi kugomea Sheria/ kanuni ipo siku li mtu litakatalia madarakani na hamtakua na chakulifanya.

Hata akina kagame, museveni, Mugabe n.k msifikiri waliruka tu mpaka kubadili katiba/sheria no!
Kabisa kabisa
 
Vitu vngne havielewek unataka tufanyeje sasa
Unatuambia ama unatuuliza ar u millard ayo
Kuna vtu vngne watu wot washavskia then mtu unaprint sjui n marudio ama vp
Mashabiki wa utopolo mna shida sana, we umelazimishwa kufungua huu uzi!? Pambana na hali yako mzee.
 
Back
Top Bottom