Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haifai kiongozi kuhamasisha upumbavuYani amefanya move ya ajabu sana. Huyu kuwa Dar ni aibu. Hapo yeye itakuwa ni kutafuta matamko ya hovyo ili apigiwe makofi na kushangiliwa, baasi. Huwa ni mchekeshaji na si mtendaji.
Siyo Kauri ni KAULI nyie vijana mlosoma SAUT vipi?Kuna watu wanashangilia kauri za namna hiyo
Nchi inaenda kuwa ya hovyo snSema viongozi wetu bana Sheria wanapitisha wenyewe zikianza kutekelezwa wanakuja mbio mbio kuzuia. Tukichekea huu uhuni wa viongozi kugomea Sheria/ kanuni ipo siku li mtu litakatalia madarakani na hamtakua na chakulifanya.
Hata akina kagame, museveni, Mugabe n.k msifikiri waliruka tu mpaka kubadili katiba/sheria no!
Hatujawahi kumuona mbunge wetu jimboni. chochote atakachowasilisha bungen n mawazo yake c ya wananchi. mbunge wako akilala bungen wakat wakuptisha sheria n upumbavu wenu mliomchagua.istoshe kwani hawa wa bunge ni sisi tumewachagua au tumechaguliwa na mwendazake?we huna mbunge? Ulitaka wananchi wote tuende bungeni kutunga sheria? Sheria ikipita tumeshirikishwa maana yupo mwakilishi wako kule anategemewa kutoa ushauri na mawazo yake kwa niaba yako
Mangi peleka sanduku 5 za maji ya dhahabu kutoka Mchikichini kwa jirani yangu Mheshimiwa sana Chalamila, jamani nani kama Chalamila, kula bia hadi kuchee, RC kasema ,kauli ya RC ni kauli ya serikali ya DSM, kula bia kula bata maisha yenyewe yako wapi? hujui kesho kama utaamuka au ndio utaimbiwa mapambio ya tutakutana tena paradiso!Kasema leo, Dar ni jiji la biashara, wasiopenda kelele waende Dodoma, watu watafute pesa, wale bia, mziki mnene. Maana wanachangia maendeleo ya jiji.
==========
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaomba Wakazi wa Mkoa wa Dar es salaam kufanya starehe ambazo hazitokuwa na makwazo huku akiongezeka kuwa Jiji la Dar es Salaam haliwezi kukwepa kelele wala kukwepa starehe.
Akiongea wakati wa Swahili Comedy Show iliyofanyika Swahili Exprience, Coco Beach Dar es salaam, amesema “Kikubwa Mimi kama RC naahidi kutoa ushirikiano wa kiulinzi lakini zaidi kufanya starehe ambazo hazitokuwa na makwazo kwasababu maana na tafsiri ya kelele bado ni jambo ambalo ni gumu kidogo, adhana ikipiga asubuhi asiye Muislamu atasema hizo ni kelele"
"Vyombo vya Kanisani vikipiga kwa nguvu asiye Mkristo atasema ni kelele, miziki ya Baa ikipigwa Mtu ambaye sio mnywa pombe atasema ni kelele, kwahiyo kuna mahali panahitaji busara kuhusu tafsiri sahihi ya kelele ili Muislamu, Mkristo wapate haki zao, mnywa pombe apate haki yake na asiye imani apate haki yake, kikubwa Dar es salaam huwezi kukwepa kilele, huwezi kwepa starehe"
View attachment 2638831
Kabisa!Nchi inaenda kuwa ya hovyo sn
Tata muraaaa!Siyo Kauri ni KAULI nyie vijana mlosoma SAUT vipi?
[emoji1787][emoji1787]Safi sana.
Sasa Dar imepata RC.. asietaka kelele ahamie Dodoma..[emoji23].
NEMC ina watu wa mihemko na matamko yasiyotekelezeka.
[emoji1787][emoji7]Kweli kabisa …asietaka kelele ahamie Dodoma
watu wa Dodoma wakitaka ku party warudi Darusalaam
Niliwaonya Nemiki...Kasema leo, Dar ni jiji la biashara, wasiopenda kelele waende Dodoma, watu watafute pesa, wale bia, mziki mnene. Maana wanachangia maendeleo ya jiji.
==========
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaomba Wakazi wa Mkoa wa Dar es salaam kufanya starehe ambazo hazitokuwa na makwazo huku akiongezeka kuwa Jiji la Dar es Salaam haliwezi kukwepa kelele wala kukwepa starehe.
Akiongea wakati wa Swahili Comedy Show iliyofanyika Swahili Exprience, Coco Beach Dar es salaam, amesema “Kikubwa Mimi kama RC naahidi kutoa ushirikiano wa kiulinzi lakini zaidi kufanya starehe ambazo hazitokuwa na makwazo kwasababu maana na tafsiri ya kelele bado ni jambo ambalo ni gumu kidogo, adhana ikipiga asubuhi asiye Muislamu atasema hizo ni kelele"
"Vyombo vya Kanisani vikipiga kwa nguvu asiye Mkristo atasema ni kelele, miziki ya Baa ikipigwa Mtu ambaye sio mnywa pombe atasema ni kelele, kwahiyo kuna mahali panahitaji busara kuhusu tafsiri sahihi ya kelele ili Muislamu, Mkristo wapate haki zao, mnywa pombe apate haki yake na asiye imani apate haki yake, kikubwa Dar es salaam huwezi kukwepa kilele, huwezi kwepa starehe"
View attachment 2638831
Exquisite [emoji7]Ndio maana Mimi nikiona watu wanalilia katiba mpya nawaona kama machizi tu. Tatizo la hii nchi sio katiba ila ni usimamizi wa hiyo katiba. wanao taka katiba mpya wangehakikisha kwanza katiba na sheria zilizopo zinafuatwa kiuhakika.
Ni mara chache sana kusikia viongozi wetu iwe wa chama tawala au upinzani wakisimama na kukemea usinginaji wa katiba/ sheria
[emoji1787][emoji1787]NEMC wanataka tunywee nyumbani
hatari snKabisa!
Mbona makanisa wanakesha Wanapiga vyombo vya muziki hamsemi ?Kama kasema hivyo kakosea sana kwa sababu inakuwaje starehe yake na walevi wenzake iwe kero kwa watu wengine wanaoishi maeneo jirani bila kujali kama kuna wagonjwa,watoto,wazee na hata wakati mwingine hutokea dharura ya misiba lakini wote hao wateseke eti tu kwa vile kuna washenzi wachache wanakunywa pombe!
Halafu kama yeye anapenda sana kulewa ndio anatakiwa arudi kwao huko akanywe ulanzi atakavyo sio kuwaambia wenye mji wao eti wahame,halafu nilikuwa namsapoti sana Rais lakini tayari ameanza kunitoka kabisa naona kile kilevi kiitwacho madaraka kimemzidi kwa sababu hata kilichomshawishi kumleta Dar sijui ni kipi au sijui kuja kuhamasisha ulevi na mikelele!
Ameletwa kufanya kusalisha au kuongoza adhana?Hajaletwa Dar kuhamasisha ulevi, afanye kilichomleta.