Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Kwa upande wa kamnywesoo huyu jamaa ni mwanachama hai vibaya mno,hongera mkuu wa mkoa Kwa kusimamia unachokipenda.Tungi bila muziki mnene ni juisiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww mwenyewe ulivyoviandika hapa vinaeleweka?Vitu vngne havielewek unataka tufanyeje sasa
Unatuambia ama unatuuliza ar u millard ayo
Kuna vtu vngne watu wot washavskia then mtu unaprint sjui n marudio ama vp
Zingatia hizo kelele huchukua muda gani !! Wengine huchukua dakika tano tu ! Na wengine ni usiku kucha !Tukitaka sheria kweli hata misikiti na makanisa ya kilokole pia ni tatizo.
Lakini inabaki pale pale zote ni kelele.hakuna kelele kubwa wala ndogoZingatia hizo kelele huchukua muda gani !! Wengine huchukua dakika tano tu ! Na wengine ni usiku kucha !
Kelele zinachukua muda gani ndio tofauti yake !!Lakini inabaki pale pale zote ni kelele.hakuna kelele kubwa wala ndogo
Akili kubwa!Noise haziepukiki"....huwezi kukwepa kelele hapa Dar es Salaam. Muhimu kila awaye apate uhuru wa haki yake aipendayo. Izingatiwe, hata wanywa bia wana haki ya kunywa huku wakiserebuka na hiyo ni haki yao na ni muhimu izingatiwe"
Chalamila.
HAKUNA RC HAPA
Tatizo ni mtoto hakuwi
Mpuuzi, kajamaa ni kapenda sifa...mihemko mingiii.
NEMC wamefata sheria kenyewe kanakuja kanahimiza uvunjifu wa sheria wakati ni kiongozi
Samia amuone mtu wake
Watumishi wa Wizara na taasisi wanapata tabu kutokana na kuingiliwa na wanasiasa
Kama hutaki kulewa usonywe pombe, kaa ndani na mmeo mnywe chai ya rangi na kashataHajaletwa Dar kuhamasisha ulevi, afanye kilichomleta.