Chalamila: Huwezi kukwepa kelele Dar es Salaam

Chalamila: Huwezi kukwepa kelele Dar es Salaam

Kwa upande wa kamnywesoo huyu jamaa ni mwanachama hai vibaya mno,hongera mkuu wa mkoa Kwa kusimamia unachokipenda.Tungi bila muziki mnene ni juisiii
 
Vitu vngne havielewek unataka tufanyeje sasa
Unatuambia ama unatuuliza ar u millard ayo
Kuna vtu vngne watu wot washavskia then mtu unaprint sjui n marudio ama vp
Ww mwenyewe ulivyoviandika hapa vinaeleweka?

Punguza makasiriko.
 
NEMC waanze na misikiti inatupigia kelele Sana asubuhi , na hawa walokole wanatupigis kelele Sana mchana
 
Haya matatizo ni mengi mfano Bar, mahoteli, guest house zinajengwa kwenye makazi ya watu nani ameruhusu si kuna viwanja vinatengwa kwa ajili ya biashara. Naomba Mungu aje rais mmoja mwamba avunje vunje baa zote zilizopo kwenye makazi ya watu. Watoto wa shule hawalali usingizi wa kutosha kelele mtindo mmoja akienda shule anasinzia hata wafanyakazi mfano mtu anayeishi Dar usiku kwanza anapigwa na joto alafu na kelele atalala vipi? Asubuhi akiamka yupo hoi bin taabani amechoka kabla hajaenda kazini alau kiongozi anasema hata mnywaji an haki yake kuburudika na kelele sawa lakini kelele zinapigiwa wapi?
 
Kama sheria inakataliwa na makundi ya watu , mkuu wa mkoa akiwemo, inapaswa kutazamwa upya
 
Samia amuone mtu wake

Watumishi wa Wizara na taasisi wanapata tabu kutokana na kuingiliwa na wanasiasa

Yani amefanya move ya ajabu sana. Huyu kuwa Dar ni aibu. Hapo yeye itakuwa ni kutafuta matamko ya hovyo ili apigiwe makofi na kushangiliwa, baasi. Huwa ni mchekeshaji na si mtendaji.
 
Back
Top Bottom