Chalamila: Huwezi kukwepa kelele Dar es Salaam

Yani amefanya move ya ajabu sana. Huyu kuwa Dar ni aibu. Hapo yeye itakuwa ni kutafuta matamko ya hovyo ili apigiwe makofi na kushangiliwa, baasi. Huwa ni mchekeshaji na si mtendaji.
Haifai kiongozi kuhamasisha upumbavu
 
Nchi inaenda kuwa ya hovyo sn
 
we huna mbunge? Ulitaka wananchi wote tuende bungeni kutunga sheria? Sheria ikipita tumeshirikishwa maana yupo mwakilishi wako kule anategemewa kutoa ushauri na mawazo yake kwa niaba yako
Hatujawahi kumuona mbunge wetu jimboni. chochote atakachowasilisha bungen n mawazo yake c ya wananchi. mbunge wako akilala bungen wakat wakuptisha sheria n upumbavu wenu mliomchagua.istoshe kwani hawa wa bunge ni sisi tumewachagua au tumechaguliwa na mwendazake?
 
Mangi peleka sanduku 5 za maji ya dhahabu kutoka Mchikichini kwa jirani yangu Mheshimiwa sana Chalamila, jamani nani kama Chalamila, kula bia hadi kuchee, RC kasema ,kauli ya RC ni kauli ya serikali ya DSM, kula bia kula bata maisha yenyewe yako wapi? hujui kesho kama utaamuka au ndio utaimbiwa mapambio ya tutakutana tena paradiso!
 
NEMC ifutwe inakula kodi zetu bure maana haina meno kama kazi yake inaweza zuiwa na mkuu wa mkoa bora ifutwe
 
Jiji linataka mapato....

Jiji linataka amani kwa raia wake....

Hakika mh.Chalamila amenena [emoji106][emoji7]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Niliwaonya Nemiki...
 
Exquisite [emoji7]
 
Mbona makanisa wanakesha Wanapiga vyombo vya muziki hamsemi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…