Chalamila: Kama Serikali inatuma vikosi kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Chalamila: Kama Serikali inatuma vikosi kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Sijawahi muelewa huyu jamaa

Uongozi sio kumfurahisha Boss wako ili akuone ni muwajibikaji, uongozi ni kuwafurahisha unao waongoza.
Yaani hapo unafikiri anamfurahisha basi. Yaani hapo anauhamasisha kiujanja sana ili mamlaka zione anaupinga we mwangalie na kumsikiliza vizuri anayoyaongea hayatoki moyoni kabisa. Yaani anachochea kiintelijensia ili boss amuone kama anaupinga.
 
1000011133.jpg
 
Mana yetu mpendwa kama unataka ulale usingizi kwa amani na bila kupata kelele za kkooo tengua huyo jamaaa mlete makonda uone kazi kazi wafanyabiashara wataanza wenyewe kumpigia makofi hata hajaongea lolote maana wanajua hata kama hawatasililizwa yote kuna maneno ya faraja na hekima watapata sasa hii nduruteeeee
 
Mana yetu mpendwa kama unataka ulale usingizi kwa amani na bila kupata kelele za kkooo tengua huyo jamaaa mlete makonda uone kazi kazi wafanyabiashara wataanza wenyewe kumpigia makofi hata hajaongea lolote maana wanajua hata kama hawatasililizwa yote kuna maneno ya faraja na hekima watapata sasa hii nduruteeeee
Makonda anaumwa ameshatupiwa kidude anahangaika nacho
 
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo

Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

Huyu mwamba angekuwa ni Rais,mungenyooka
 
Back
Top Bottom