Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Hivi Samia huwa anatoa wapi wakuu wa mikoa wajinga kama huyu Chalamila.
jinga kama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jinga kama
Mkuu tuheshimiane sitaki utumie picha yangu kwa uzi kama huu🐒🐒🏋🏻🏋🏻
Kumbe bado hajakuaMama Samia Rais wetu alimwambia Chalamila anaamini sasa kakua, naona anaanza tena kujisahau, lugha hizi sio za kuongea na wafanyabiashara
S'gang 🐼Chalamila haeleweki ni kama anachochea mgomo hivi ukiangalia kwa jicho la tatu.
Yaani hapo unafikiri anamfurahisha basi. Yaani hapo anauhamasisha kiujanja sana ili mamlaka zione anaupinga we mwangalie na kumsikiliza vizuri anayoyaongea hayatoki moyoni kabisa. Yaani anachochea kiintelijensia ili boss amuone kama anaupinga.Sijawahi muelewa huyu jamaa
Uongozi sio kumfurahisha Boss wako ili akuone ni muwajibikaji, uongozi ni kuwafurahisha unao waongoza.
The main difference between FOOLS and BRAVES is that, Braves speak when they have something to say, but Fools speak because they have to say something.
Makonda anaumwa ameshatupiwa kidude anahangaika nachoMana yetu mpendwa kama unataka ulale usingizi kwa amani na bila kupata kelele za kkooo tengua huyo jamaaa mlete makonda uone kazi kazi wafanyabiashara wataanza wenyewe kumpigia makofi hata hajaongea lolote maana wanajua hata kama hawatasililizwa yote kuna maneno ya faraja na hekima watapata sasa hii nduruteeeee
Hajalinda kiapo chake naamini anatakiwa atenguliwe, kapagawa maana mgomo wa kariakoo ndio hua unawatoa ma RC wote DarAtatoa Siri za nchi huyu 🐼
Kulinda Amani Siyo kupigana
Huyu mwamba angekuwa ni Rais,mungenyookaDAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo
Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?
Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.