Chalamila: Kama Serikali inatuma vikosi kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Chalamila: Kama Serikali inatuma vikosi kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo

Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

Dishi
 
Chalamila, very sorry for mkuu. Hv Kariakoo umekwenda kusikiliza shida za wafanyabiashara au umekwenda kuwapa vitisho? Nikueleweshe tu, jeshi ni taasisi kubwa na nyeti kwa usalama wa nchi, huwezi kuitajataja kirahisi hivyo. Kuwa makini na kauli zako. Kumbuka Rais Samia wakati abakurejesha kwenye madaraka kuna jambo alisema juu yako
Alionywa sana kuchunga ulimi wake.
 
Hivi Samia huwa anatoa wapi wakuu wa mikoa wajinga kama huyu Chalamila.

jinga kama
images (97).jpeg
 
Fact!

Tunafunga karikoo miezi miwili, tunaenda kufidia pengo la kodi ya kariakoo ya miezi miwili kwa kukopa World Bank, ndio tuone nani atafilisika.
 
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo

Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

NDIYO WASOMI WETU WA UDSM, HAFAHAMU SENTENSI GANI ITUMIKE MAHALA GANI?, HAPA NI KWENYE BIASHARA KUNA LANGUAGE YAKE YA KIBIASHARA, HIVI TUNAKWENDA UNIVERSITY KUFANYA NINI.
 
Hawa watu wanahitaji management training ya Hali ya juu, yaani huyu anaishi Karne nyingi saana nyuma.

Bado anaamini ukiwa kiongozi unanguvu zote za kuwafanya raia utakacho, huku anasahau hao pia ndio wanamlipa mishahara, kujaza gari la Serikali mafuta,pakuishi, na hiyo status aliyonayo.
 
Jana ilikuwa weekend bado, jamaa atakuwa bado ana hangover. Ila kiukweli hii nchi inahitaji reform kubwa sana, huwezi amini huyu ni mkuu wa mkoa Dar Es Salaam, jiji tunalolitegemea 😃
 
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo

Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

RC Chalamila anguruma Kariakoo...
 
Back
Top Bottom