DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Mkuu we angalia hata makonda wanavyopenda,, ndo akili za wabongo. MTU km Samia eti anaupga mwingiUyu jamaa ni hewa na wabongo hewa ndio basi wanamuona ndio kiongozi mwerevu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu we angalia hata makonda wanavyopenda,, ndo akili za wabongo. MTU km Samia eti anaupga mwingiUyu jamaa ni hewa na wabongo hewa ndio basi wanamuona ndio kiongozi mwerevu
DishiDAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo
Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?
Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Alionywa sana kuchunga ulimi wake.Chalamila, very sorry for mkuu. Hv Kariakoo umekwenda kusikiliza shida za wafanyabiashara au umekwenda kuwapa vitisho? Nikueleweshe tu, jeshi ni taasisi kubwa na nyeti kwa usalama wa nchi, huwezi kuitajataja kirahisi hivyo. Kuwa makini na kauli zako. Kumbuka Rais Samia wakati abakurejesha kwenye madaraka kuna jambo alisema juu yako
Nadhani hajawahi kufanya biashara kwanza hana sifa za mjasiriamaliHajalinda kiapo chake naamini anatakiwa atenguliwe, kapagawa maana mgomo wa kariakoo ndio hua unawatoa ma RC wote Dar
Self-mage, picha ya kibinafsi huwezi kuibadilisha kirahisiAlionywa sana kuchunga ulimi wake.
Mjinga sana,eti,Manji alipigwa mkwara akakimbia nchi sembuse nyie wadogo,jamaa kiazi sana bora asingefika.......Kuna watu hawafai kuwa viongozi. Yani jamaa limepiga mikwara tu mwanzo mwisho.
Hivi Samia huwa anatoa wapi wakuu wa mikoa wajinga kama huyu Chalamila.
jinga kama
Kwa hiyo katiba ikivunjwa ruksa jeshi kupigana..? Nani mvunjaji mkubwa wa katiba kati ya viongozi na wananchi..?mbona hatujawahi kuona hao unaowasema, wamepigana na waliovunja katiba...Kwaiyo Jeshi liende kariakoo kupigana? Kuna sheria zipi ndani ya katiba zilizovunjwa?
NDIYO WASOMI WETU WA UDSM, HAFAHAMU SENTENSI GANI ITUMIKE MAHALA GANI?, HAPA NI KWENYE BIASHARA KUNA LANGUAGE YAKE YA KIBIASHARA, HIVI TUNAKWENDA UNIVERSITY KUFANYA NINI.DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo
Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?
Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
RC Chalamila anguruma Kariakoo...DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo
Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?
Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.