Chalamila: Kama Serikali inatuma vikosi kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Chalamila: Kama Serikali inatuma vikosi kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo

Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

Ni kweli serikali haishindwi jambo. Ndiyo maana barabara zote Tanzania nzima (na hasa za Tanganyika) ni lami tupu? Ndiyo maana shule zote za Tanzania zimejaa madawati na mengine wanakosa mahali pa kuyaweka? Au niliangalia vibaya nilipokuja likizo?
 
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo

Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

daah tunasafari ndefu sana
 
Huyu jamaa ukimsikiliza akiwa ametulia huwezi amini kama ni mropokaji, Jana wakati anawasihi wafanyabiashara waendelee na kazi, alikuwa anaongea kwa utulivu mkubwa huku akionyesha jitihada walizochukua kama serikali. Sasa hivi tena naona amerudi kule kwenye tabia yake ya asili
Eti waendelee kugoma wao itawachukua mwezi kukubaliana, kwa maana nyingine nyie jifiche njaa itawatoa shimoni.
 
Mana yetu mpendwa kama unataka ulale usingizi kwa amani na bila kupata kelele za kkooo tengua huyo jamaaa mlete makonda uone kazi kazi wafanyabiashara wataanza wenyewe kumpigia makofi hata hajaongea lolote maana wanajua hata kama hawatasililizwa yote kuna maneno ya faraja na hekima watapata sasa hii nduruteeeee
Wewe nawe unataka aondoe mjinga amlete mpumbavu! Wabongo ni warahisi sana kufanyiwa usanii kwenye uongozi.
 
Nilikuwa naliuliza kwa nini kabla Chalamila kuja Dar es Salaam.Jiji lilikuwa safi,baishara za barabarani zilipotea,chakula kilipikwa kwa staha na afya lakini Leo kila Kona Kuna jiko,biashara zimeanza kuwekwa kwenye njia za waenda kwa miguu,vibanda vinainuka.Kuna siku kiongozi wa wafanyabiashara alimwambia kero ya kuingiliana kwa zi biashara zisizo rasmi maeneo ya biashara rasmi jamaa akajibu Raha ya kariakooo ni msongomano.Yaani Kariakoo ambayo Barabara zote za lami zimegeuka maduka na majiko Bado kiongozi anaona sawa.Tunasubiri muda wa AFCON tuanze kutumia migambo badala kupanga Leo.
 
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo

Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

Kaliakoo ndo Tanzania,na ukuu wa mkoa wa hapo Dar es salaam ndo ajiandae kuachia sababu hata kabla ya makonda aliondoka sababu ya mgomo wa wafanyabiashara wa kaliakoo,Kaliakoo ndo uti wa mgongo wa Kodi Tanzania hakuna zaidi mkuu jiandae kwenda Tanganyika huko.
 
DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo

Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

Tumpe na uraisi wa nchi atuboost vichwa kdg
 
Hajamaanisha hivyo amemaanisha kuweka ulinzi wasiibiwe huku majadiliano yakiendelea.

..ametishia watu Jwtz ambao wako Congo.

..Na Jwtz walioko Congo hawalindi maduka, wanapigana vita.

..tatizo la Ccm ni kutokuheshimu wananchi kwasababu hawategemei kura zao kuingia madarakani.
 
Back
Top Bottom