Hajamaanisha hivyo amemaanisha kuweka ulinzi wasiibiwe huku majadiliano yakiendelea...is he CRAZY?
..yaani Jwtz wapigane na Watanzania wanaowalisha na kuwavisha?
..huyo bwana ni mropokaji, hafai.
Ni kweli serikali haishindwi jambo. Ndiyo maana barabara zote Tanzania nzima (na hasa za Tanganyika) ni lami tupu? Ndiyo maana shule zote za Tanzania zimejaa madawati na mengine wanakosa mahali pa kuyaweka? Au niliangalia vibaya nilipokuja likizo?DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo
Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?
Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
daah tunasafari ndefu sanaDAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo
Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?
Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Mkuu hawa ndiyo wasaidizi wa Samia. Ni wengi wako hivi...is he CRAZY?
..yaani Jwtz wapigane na Watanzania wanaowalisha na kuwavisha?
..huyo bwana ni mropokaji, hafai.
Eti waendelee kugoma wao itawachukua mwezi kukubaliana, kwa maana nyingine nyie jifiche njaa itawatoa shimoni.Huyu jamaa ukimsikiliza akiwa ametulia huwezi amini kama ni mropokaji, Jana wakati anawasihi wafanyabiashara waendelee na kazi, alikuwa anaongea kwa utulivu mkubwa huku akionyesha jitihada walizochukua kama serikali. Sasa hivi tena naona amerudi kule kwenye tabia yake ya asili
Wewe nawe unataka aondoe mjinga amlete mpumbavu! Wabongo ni warahisi sana kufanyiwa usanii kwenye uongozi.Mana yetu mpendwa kama unataka ulale usingizi kwa amani na bila kupata kelele za kkooo tengua huyo jamaaa mlete makonda uone kazi kazi wafanyabiashara wataanza wenyewe kumpigia makofi hata hajaongea lolote maana wanajua hata kama hawatasililizwa yote kuna maneno ya faraja na hekima watapata sasa hii nduruteeeee
Angekunyoosha mwenyewe, maana unatumia masaburi kufikiri.Huyu mwamba angekuwa ni Rais,mungenyooka
Mkuu hawa ndiyo wasaidizi wa Samia. Ni wengi wako hivi.
Kaliakoo ndo Tanzania,na ukuu wa mkoa wa hapo Dar es salaam ndo ajiandae kuachia sababu hata kabla ya makonda aliondoka sababu ya mgomo wa wafanyabiashara wa kaliakoo,Kaliakoo ndo uti wa mgongo wa Kodi Tanzania hakuna zaidi mkuu jiandae kwenda Tanganyika huko.DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo
Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?
Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Jamaa anaongea tu bila kufikiria, anaonekana ana kichwa chepesi sana,viongozi wengine wanatia aibuKuna watu hawafai kuwa viongozi. Yani jamaa limepiga mikwara tu mwanzo mwisho.
Tumpe na uraisi wa nchi atuboost vichwa kdgDAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema ikihitajika kuweka Vyombo vya Dola maeneo ya Kariakoo kwaajili ya kulinda biashara wakati mazungumzo ya Wafanyabiashara na Serikali yakiendelea atafanya hivyo
Amesema “Nataka niwaambie ukweli, Serikali haishindwi jambo, kama Serikali inatuma vikosi kwenda kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?
Amesema hayo, leo Juni 24, 2024 baada ya Wafanyabiashara kufunga biashara zao kwa madai yao kuwa wamechoshwa na vitendo wanavyofanyiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Lazima atakuwa mwanachama wa chamaKuna jamaa hapo anasema fanya hivyo muheshimiwa
Huo msukule hauna hisia zozoteLucas yuko wapi jamani ampongeze mama kwa hili la kuteua viongozi wenye weledi kama huyu
Hajamaanisha hivyo amemaanisha kuweka ulinzi wasiibiwe huku majadiliano yakiendelea.