Chalamila kutumia askari (mlinzi wake) kwa suala binafsi la Mkesha wa Mwamposa baada ya muda wa kazi ni unyanyasaji kwa askari huyo, akemewe!

Chalamila kutumia askari (mlinzi wake) kwa suala binafsi la Mkesha wa Mwamposa baada ya muda wa kazi ni unyanyasaji kwa askari huyo, akemewe!

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Najua mtakuja na motoo kuwashukia askari kuhusu utekaji na mazonge yao mengine, hayo tuyaweke pembeni, hayahusiki kwenye muktadha huu. Hata kama kati yao wapo washenzi (ashakum) naamini wengi tunaweza kutestify kuwa wapo waliobora waliotuhudumia na kutusave pakubwa tulipopata majanga. Twende kwenye mada

Kama tunavyopiga kelele wwngine wanavyonyanyaswa na matumizi mabaya ya madaraka kwenye muasuala mengine tupige kelele pia na hapa.

Ninavyofahamu walinzi hawa pia wanapumzika, siyo mashine kusema kuwa hawachoki na wanafanya kazi saa 24.

Chalamila kumtumia askari wake (na kama viongozi waliokuwwpo kwenye ibada hiyo walifanya hivyo) kwenye shughuli zake binafsi za kwenda kupikwa kwaajili ya 2025 (mkija na mapovu comments ziwe fupifupi:BearLaugh::BearLaugh:) ni matumizi mabaya ya madaraka na unyanyasaji kwa mtumishi huyo, unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.



Na ubaya ni kwamba askari hawezi kugoma, atafanya kazi mambo yaishe.

Nashangaa hata kwa nini bado huyu jamaa yupo ofisini na makandokando yote amefanya, katika watu wana maadili 0 kwenye utumishi ni huyu. Kwa hili hapana, anastahili kuwajibika.

Naomba tubalance shobo, na tuwe objective kwenye hili.
 
Wakuu,

Najua mtakuja na motoo kuwashukia askari kuhusu utekaji na mazonge yao mengine, hayo tuyaweke pembeni, hayahusiki kwenye muktadha huu. Hata kama kati yao wapo washenzi (ashakum) naamini wengi tunaweza kutestify kuwa wapo waliobora waliotuhudumia na kutusave pakubwa tulipopata majanga. Twende kwenye mada

Kama tunavyopiga kelele wwngine wanavyonyanyaswa na matumizi mabaya ya madaraka kwenye muasuala mengine tupige kelele pia na hapa.

Ninavyofahamu walinzi hawa pia wanapumzika, siyo mashine kusema kuwa hawachoki na wanafanya kazi saa 24.

Chalamila kumtumia askari wake (na kama viongozi waliokuwwpo kwenye ibada hiyo walifanya hivyo) kwenye shughuli zake binafsi za kwenda kupikwa kwaajili ya 2025 (mkija na mapovu comments ziwe fupifupi:BearLaugh::BearLaugh:) ni matumizi mabaya ya madaraka na unyanyasaji kwa mtumishi huyo, unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.

View attachment 3176486

Na ubaya ni kwamba askari hawezi kugoma, atafanya kazi mambo yaishe.

Nashangaa hata kwa nini bado huyu jamaa yupo ofisini na makandokando yote amefanya, katika watu wana maadili 0 kwenye utumishi ni huyu. Kwa hili hapana, anastahili kuwajibika.

Naomba tubalance shobo, na tuwe objective kwenye hili.
Labda kamlipa mwenyewe?
 
Too cheap; mkuu wa mkoa ana muda maalumu wa kufanya kazi? Nonsense
Iko hivi, sheria inayo linda mikutano ya kidini ndio hiyo hiyo ya maandamano, ulinzi na usalama na mkuu wa hayo ni mhe RC, so?

Yaani kodi yangu inamlipa askari ili aende akamlinde mkuu wa mkoa akiwa ibadani?

Chalamila anashindwa kulipa for private security?
 
Too cheap; mkuu wa mkoa ana muda maalumu wa kufanya kazi? Nonsense
Iko hivi, sheria inayo linda mikutano ya kidini ndio hiyo hiyo ya maandamano, ulinzi na usalama na mkuu wa hayo ni mhe RC, so?
Hajaenda pale kama mkuu wa Mkoa, kaenda kwa maombi kama wale wanawake waliojazana pale kuombewa... nadhani kwa hiyo video amesema vyema
 
Wakuu,

Najua mtakuja na motoo kuwashukia askari kuhusu utekaji na mazonge yao mengine, hayo tuyaweke pembeni, hayahusiki kwenye muktadha huu. Hata kama kati yao wapo washenzi (ashakum) naamini wengi tunaweza kutestify kuwa wapo waliobora waliotuhudumia na kutusave pakubwa tulipopata majanga. Twende kwenye mada

Kama tunavyopiga kelele wwngine wanavyonyanyaswa na matumizi mabaya ya madaraka kwenye muasuala mengine tupige kelele pia na hapa.

Ninavyofahamu walinzi hawa pia wanapumzika, siyo mashine kusema kuwa hawachoki na wanafanya kazi saa 24.

Chalamila kumtumia askari wake (na kama viongozi waliokuwwpo kwenye ibada hiyo walifanya hivyo) kwenye shughuli zake binafsi za kwenda kupikwa kwaajili ya 2025 (mkija na mapovu comments ziwe fupifupi:BearLaugh::BearLaugh:) ni matumizi mabaya ya madaraka na unyanyasaji kwa mtumishi huyo, unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.

View attachment 3176486

Na ubaya ni kwamba askari hawezi kugoma, atafanya kazi mambo yaishe.

Nashangaa hata kwa nini bado huyu jamaa yupo ofisini na makandokando yote amefanya, katika watu wana maadili 0 kwenye utumishi ni huyu. Kwa hili hapana, anastahili kuwajibika.

Naomba tubalance shobo, na tuwe objective kwenye hili.
Chalamila asamehewe, alishasema hadharani kwamba aliua mtu. Damu ya marehemu inafanya awe na wenge kila wakati
 
Wakuu,

Najua mtakuja na motoo kuwashukia askari kuhusu utekaji na mazonge yao mengine, hayo tuyaweke pembeni, hayahusiki kwenye muktadha huu. Hata kama kati yao wapo washenzi (ashakum) naamini wengi tunaweza kutestify kuwa wapo waliobora waliotuhudumia na kutusave pakubwa tulipopata majanga. Twende kwenye mada

Kama tunavyopiga kelele wwngine wanavyonyanyaswa na matumizi mabaya ya madaraka kwenye muasuala mengine tupige kelele pia na hapa.

Ninavyofahamu walinzi hawa pia wanapumzika, siyo mashine kusema kuwa hawachoki na wanafanya kazi saa 24.

Chalamila kumtumia askari wake (na kama viongozi waliokuwwpo kwenye ibada hiyo walifanya hivyo) kwenye shughuli zake binafsi za kwenda kupikwa kwaajili ya 2025 (mkija na mapovu comments ziwe fupifupi:BearLaugh::BearLaugh:) ni matumizi mabaya ya madaraka na unyanyasaji kwa mtumishi huyo, unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.

View attachment 3176486

Na ubaya ni kwamba askari hawezi kugoma, atafanya kazi mambo yaishe.

Nashangaa hata kwa nini bado huyu jamaa yupo ofisini na makandokando yote amefanya, katika watu wana maadili 0 kwenye utumishi ni huyu. Kwa hili hapana, anastahili kuwajibika.

Naomba tubalance shobo, na tuwe objective kwenye hili.
Kwani yeye askari anasemaje? Je yeye hana dhambi?
 
Mwenye imani ya uhakika hawezi akatafuta Mungu wa nyongeza wa kumulinda anapokuwa kumwabudu Mungu wa kweli kwa kuwa anajitosheleza kuwalinda watumishi wake.
 
Wakuu,

Najua mtakuja na motoo kuwashukia askari kuhusu utekaji na mazonge yao mengine, hayo tuyaweke pembeni, hayahusiki kwenye muktadha huu. Hata kama kati yao wapo washenzi (ashakum) naamini wengi tunaweza kutestify kuwa wapo waliobora waliotuhudumia na kutusave pakubwa tulipopata majanga. Twende kwenye mada

Kama tunavyopiga kelele wwngine wanavyonyanyaswa na matumizi mabaya ya madaraka kwenye muasuala mengine tupige kelele pia na hapa.

Ninavyofahamu walinzi hawa pia wanapumzika, siyo mashine kusema kuwa hawachoki na wanafanya kazi saa 24.

Chalamila kumtumia askari wake (na kama viongozi waliokuwwpo kwenye ibada hiyo walifanya hivyo) kwenye shughuli zake binafsi za kwenda kupikwa kwaajili ya 2025 (mkija na mapovu comments ziwe fupifupi:BearLaugh::BearLaugh:) ni matumizi mabaya ya madaraka na unyanyasaji kwa mtumishi huyo, unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.

View attachment 3176486

Na ubaya ni kwamba askari hawezi kugoma, atafanya kazi mambo yaishe.

Nashangaa hata kwa nini bado huyu jamaa yupo ofisini na makandokando yote amefanya, katika watu wana maadili 0 kwenye utumishi ni huyu. Kwa hili hapana, anastahili kuwajibika.

Naomba tubalance shobo, na tuwe objective kwenye hili.
Msichanganye dini na siasa!!
 
M
Wakuu,

Najua mtakuja na motoo kuwashukia askari kuhusu utekaji na mazonge yao mengine, hayo tuyaweke pembeni, hayahusiki kwenye muktadha huu. Hata kama kati yao wapo washenzi (ashakum) naamini wengi tunaweza kutestify kuwa wapo waliobora waliotuhudumia na kutusave pakubwa tulipopata majanga. Twende kwenye mada

Kama tunavyopiga kelele wwngine wanavyonyanyaswa na matumizi mabaya ya madaraka kwenye muasuala mengine tupige kelele pia na hapa.

Ninavyofahamu walinzi hawa pia wanapumzika, siyo mashine kusema kuwa hawachoki na wanafanya kazi saa 24.

Chalamila kumtumia askari wake (na kama viongozi waliokuwwpo kwenye ibada hiyo walifanya hivyo) kwenye shughuli zake binafsi za kwenda kupikwa kwaajili ya 2025 (mkija na mapovu comments ziwe fupifupi:BearLaugh::BearLaugh:) ni matumizi mabaya ya madaraka na unyanyasaji kwa mtumishi huyo, unaotakiwa kukemewa kwa nguvu zote.

View attachment 3176486

Na ubaya ni kwamba askari hawezi kugoma, atafanya kazi mambo yaishe.

Nashangaa hata kwa nini bado huyu jamaa yupo ofisini na makandokando yote amefanya, katika watu wana maadili 0 kwenye utumishi ni huyu. Kwa hili hapana, anastahili kuwajibika.

Naomba tubalance shobo, na tuwe objective kwenye hili.
"Mwenye wivu ajinyonge"
Siyo maneno yangu,
Ni Maneno ya Mheshimiwa.

Ana overtime payment
Kwahiyo Wapwa punhuzeni makasiriko.

Hata huko nyumbani si ajabu analindwa.
 
Back
Top Bottom