Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni mwendo wa matumizi mabaya ya fedha za umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwendo wa matumizi mabaya ya fedha za umma
Wamekutana na komandoo wakaanza kububujikwa na machozi kama mdude nyagali😀😀🙌Kwa hiyo mlitaka asimlinde au mlitaka kumdhuru ndio mkakutana na Komandoo.
Muulize mfanyakazi yeyote wa serikali huwa anaombea fursa ya kufanya overtime itokee. Usawa huu hali ngumu.Aaaah bana weee, akae na walinzi wake binafsi, shift ikiisha mtu awe relived na duties
Mkuu eti hao ndiyo GT wa Jf siku hizi..Badili jina ujiite UGLY WIFE kwa sababu umeandika pumba. Polisi wako kwa ajili ya usalama wa raia na mali zao ndo maana hata mabenki binafsi huwa wanalinda. Pia siku ukiwa unahitaji ulinzi kwa jambo lako fika kituo cha polisi wakupe utaratibu. Mwamposa ni TAPELI ila kuhusu polisi kuwepo pale umepuyanga sana.