Badili jina ujiite UGLY WIFE kwa sababu umeandika pumba. Polisi wako kwa ajili ya usalama wa raia na mali zao ndo maana hata mabenki binafsi huwa wanalinda. Pia siku ukiwa unahitaji ulinzi kwa jambo lako fika kituo cha polisi wakupe utaratibu. Mwamposa ni TAPELI ila kuhusu polisi kuwepo pale umepuyanga sana.