Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mh Chalamila ametoa kauli hiyo ili kuwalazimisha wazazi kupeleka chakula baada ya kubaini kuwa wameshindwa kutimiza wajibu huo kwa njia ya amani licha ya kupatiwa maelezo na kuelimishwa faida ya utaratibu huo .
Mtukufu Chalamila ametoa kauli hiyo ya maendeleo katika shule ya sekondari ya Iyela Jijini Mbeya katika ziara ya kimkakati ili kuinua kiwango cha ufaulu .
Mtukufu Chalamila ametoa kauli hiyo ya maendeleo katika shule ya sekondari ya Iyela Jijini Mbeya katika ziara ya kimkakati ili kuinua kiwango cha ufaulu .