Chalamila: Nasisitiza nikifa nizikwe kama waislamu siyo kiislamu. Tunafanya misiba ya kifahari baada ya miezi 2 watoto wanafukuzwa ada

Kwa mara ya kwanza jamaa namsikia anaongea point.
 
Hakuna hata umuhimu sana wa kumuaga marehemu.
 
Fallacy
 
Hakuna hata umuhimu sana wa kumuaga marehemu.
Kama hakuna umuhimu, anachoomba ni kitu gani? Na wale waisilamu wanawake wanaoenda kanisani na makaburini katika mazishi ya jirani zao wakristu, kwa nini wanafanya hivyo?
 
Fact
 
Kasema anakufa lini?

Maana ajira zimekua ngumu, ni sogea nipande.
 
Huyu anafanya uchawa kwa Samia hana lolote ,

Uzikwe na sanda,uzikwe kwenye sanduku, uzikwe uchi kama hukujiandaa na Mungu wako haisaidii kitu

Huyu anasema hivo ili Samia asimtumbue
Umeona mbali sana
 
Huyu anafanya uchawa kwa Samia hana lolote ,

Uzikwe na sanda,uzikwe kwenye sanduku, uzikwe uchi kama hukujiandaa na Mungu wako haisaidii kitu

Huyu anasema hivo ili Samia asimtumbue
We nawe umekurupuka hujamuelewa ,msikilize tena
 
Kitubio chenyewe eti cha kwenda kutubu kwa padre ambaye naye anakula wake za waumini wake kimya kimya, ushenzi mtupu mnawafurahisha wanadamu tu hapo.
 
Kitubio chenyewe eti cha kwenda kutubu kwa padre ambaye naye anakula wake za waumini wake kimya kimya, ushenzi mtupu mnawafurahisha wanadamu tu hapo.
Imeandikwa, lazima utamke kujuta dhambi zako. Hata wanaotoa ushuhuda, hao pia hutoa dhambi zako hadharani mbele ya washirikina, wazinzi na wezi wenzao
 
Point ya msingi hujalazimishwa kitu mkuu mtu anaweza akasikiliza na kuendelea na maisha yake, sasa makasiriko ya nini?
Yaani utumie rasilimali za serikali kutoa wosia wako? Tatizo hamjitambui
 
Huyuu!?!!!!πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄
 
Mkuu nani kakudanganya harusi ni simple? Au ni uhaba wa pesa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…