Chalamila shikamoo brother

Chalamila shikamoo brother

1. Kwenye line ya simu halooo

2. Haloo unaongea na mpaji mungu kutoka Red stone....Moshi

1. Tuma salamu kwa watu watatu

2. Salamu zangu za kwanza namtumia Mayalla kutoka River side, za pili namtumia shengena kutoka Concord kariakoo na za mwisho namtumia Kagame kutoka sinza mugabe
Mkuu Malindi siku hizi hamuendi tena?
 
Ewaaaaah pia nlifanikiwa kufika kiwanja maarufu Cha shivaz kilichopoa 96.2FM Arusha kiwanja kinachosifika kwa kuwa na kila aina ya mema ya dunia kuanzia wahindi, wabantu, Cushites na nilotes kwa kweli Watanzania wana kila sababu za kumshukuru mama Samia kwa sababu hali ni shwari watu wanapata huduma kwa nafuu na wanafurahia maisha

Pia nimefika hadi maeneo ya babati mjini kujionea hali halisi kwa kwel watanzania waamue wao mambo ni saafi kbs huduma zipo available 24/7 kuanzia bara bara ya Olympic, maeneo ya na River Nile, njoo mpaka maeneo ya mahakamani, royal hotel, majengo mapya na maeneo mengine Kwa kwel tunaweza sema together tunawakilisha

Nirudi kwenu studio za dar es salaam kwa matangazo zaidi
Ndugu mwandishi huku vijana wanasema kua hali sio shwari barabarani na sasa wamehamia kwenye simu...
Na vile vile ndugu mwandishi,,,,,,huku siku hizi vijana wa ajira portal ndio wajasiriamali wakubwa wa hii sekta...
Na ndugu mwandishi habari kubwa huku ni ya kijana CHUMA na Dada Mage kwenye harakati za Gigi...
Sijui unanipata vizuri ndugu mwandishi???
 
Anatoka na mbinu zake za Bush huko anazileta town akili matope kitu kipo Dunia nzima kimeshindikana tangu Karne hizo hata Yesu hajazaliwa Yesu kaja kawakuta akawaacha eti Challamila anakuja anajifanya yeye ana akili kumzidi Yesu
Mkuu punguza jazba..
Yule brother ujue
 
Anatoka na mbinu zake za Bush huko anazileta town akili matope kitu kipo Dunia nzima kimeshindikana tangu Karne hizo hata Yesu hajazaliwa Yesu kaja kawakuta akawaacha eti Challamila anakuja anajifanya yeye ana akili kumzidi Yesu
Hapo Yesu kaingia kimakosa
 
Anatoka na mbinu zake za Bush huko anazileta town akili matope kitu kipo Dunia nzima kimeshindikana tangu Karne hizo hata Yesu hajazaliwa Yesu kaja kawakuta akawaacha eti Challamila anakuja anajifanya yeye ana akili kumzidi Yesu
Hivi vitu vinahitaji busara na akili nyingi mnooo
 
Ndugu mwandishi huku vijana wanasema kua hali sio shwari barabarani na sasa wamehamia kwenye simu...
Na vile vile ndugu mwandishi,,,,,,huku siku hizi vijana wa ajira portal ndio wajasiriamali wakubwa wa hii sekta...
Na ndugu mwandishi habari kubwa huku ni ya kijana CHUMA na Dada Mage kwenye harakati za Gigi...
Sijui unanipata vizuri ndugu mwandishi???
Kwa kwel zile harakati za mtu mweusi nimefanikiwa kuziona na nimefanikiwa kuongea na baadhi ya wakongwe wa hizi fani za utazamaji wa filamu za ng*n* na picha utupu kutoka maeneo ya tanga bara bara ya 12 na haya yalikua ni mazungumzo yetu

Mimi: Khabar yako, mnaendeleaje katika jiji la "waja leo waondoka Leo"

Yeye: salama kbs tunaendelea vzr

Mimi; siku za karibuni Kuna pilau la kufungia mwaka limepikwa Tanzania na likavujishwa kutoka ardhi ya Biden kwa uzoefu wako umegundua nini

Yeye; ndugu mtangazaji lile pilau ama kwel limelika na kazi imefanyika kilichokosekana ni ufundi mdogo mdogo baadhi ya viungo vilikua havijakolea kwa sie wazee wa Tanga tumegundua madhaifu mengi ila vijana wa siku hz hamna majambo wanaona pale Wana la kujifunza ila sie walaaaa

Mimi; asante sana mzeewangu

Kama ulivoona ndugu kagame umeweza kuona maoni ya baadhi ya wasikilizaji wetu

Kwako studio
 
Mkuu punguza jazba..
Yule brother ujue
Yesu alifyata mkia tena alaiwazuia watu wasimpige Malaya akasema ambae hana dhambi awe wa kwanza kumpiga mawe watu wote wakakimbia kwa hio hata Yesu alikua mtetezi wa Malaya km unasoma biblia nenda ukasome mpe na Challamila biblia asome Yesu mwenyewe aliufyata akakaa upande wa Malaya

Mpigie 0767 150 400
 
Back
Top Bottom