Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Ndio nishakupenda mpaka hapo unajuaPunguza ukali wa maneno Mkuu,upo kasi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nishakupenda mpaka hapo unajuaPunguza ukali wa maneno Mkuu,upo kasi sana
Unataka kuwalaza nja pisi zetu wewe si bure😀😀😀😀🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 Tunakusalimia kutokea mitaa mwanayamala hospital, mwembe yanga na tandika devis coner na kigamboni darajani na sinza mugabe na kinondoni studio DSM.... Shikamoo brother....!!!!!
Salamu zikufikie,,,braza
😂🤣🤣
Salaamu ni uungwana braza
Hii ni kwetu tuliosoma vietnam wale cuba haiwahusu!Kipara umetiisha 🤣🤣🤣😂😂😂 code juu ya code
Mbwiga yule anataka warembo wakale wapi? Sisi wengine pesa yetu bila kuliwa na warembo hatuna amani. Duniani tunapita kwanini nijenge mijumba mingi? Acha nile na warembo nikifa nakufa mara moja sirudi tena.😂 Kichwa km matako?
Nikiripoti kutoka Magurumbasi sasa ndugu yangu studio , huu mtaa wa Magurumbasi ndiyo wenye vigesti uchwara vingi kuliko sehemu yoyote kwasababu ndiko vijana wanaojolipua kwenye maduka ya wahindi Kariakoo wanakuja kuzitumia hapa katika mabar mbalimbali maeneo hay hivyo baada ya kuzitumia hawaoni hajizi kujipumzisha maeneo haya .Ndugu ripota salamu zimefika na atapewa muhusika..
Ila tujuze hapo keko kuna mtaa una gesti nyingi kuliko nyumba za makazi.
Tatizo nn ndugu ripota
Ndugu ripota wetu mwenye jina la kiebrania 🤣🤣🤣🤣Nikiripoti kutoka Magurumbasi sasa ndugu yangu studio , huu mtaa wa Magurumbasi ndiyo wenye vigesti uchwara vingi kuliko sehemu yoyote kwasababu ndiko vijana wanaojolipua kwenye maduka ya wahindi Kariakoo wanakuja kuzitumia hapa katika mabar mbalimbali maeneo hay hivyo baada ya kuzitumia hawaoni hajizi kujipumzisha maeneo haya .
Ni mimi mdogo wake na Matumla kutokea keko ya Magurumbasi
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Brother kawanyanganya ajira,,,vijana wa ajira portal 🤣🤣🤣Anapaswa kuigwa na Wakuu wa Mikoa mingine mf.Mwanza, Mbeya, Arusha, nk
Matumla mdogo rudi hewani,,,,upo live now redioniNikiripoti kutoka Magurumbasi sasa ndugu yangu studio , huu mtaa wa Magurumbasi ndiyo wenye vigesti uchwara vingi kuliko sehemu yoyote kwasababu ndiko vijana wanaojolipua kwenye maduka ya wahindi Kariakoo wanakuja kuzitumia hapa katika mabar mbalimbali maeneo hay hivyo baada ya kuzitumia hawaoni hajizi kujipumzisha maeneo haya .
Ni mimi mdogo wake na Matumla kutokea keko ya Magurumbasi
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mhaya wa Nyaishozi 🤣🤣🤣🤣 hunaga bayaMbwiga yule anataka warembo wakale wapi? Sisi wengine pesa yetu bila kuliwa na warembo hatuna amani. Duniani tunapita kwanini nijenge mijumba mingi? Acha nile na warembo nikifa nakufa mara moja sirudi tena.
Wazee wa Vietnam.....Hii ni kwetu tuliosoma vietnam wale cuba haiwahusu!
Ndugu ripota hizo kimya kimya,,,ina maana mnampinga braza na harakati zake?????Unataka kuwalaza nja pisi zetu wewe si bure😀😀😀😀
Kimya kimya ndo mwendo wa chobingo
Mitambo ni kama ilinitoa hewani , nakupata kwa uzuri hapo studio .Ndugu ripota wetu mwenye jina la kiebrania [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunakupata tunakupata moja kwa moja toka makao makuu studio
Asante kwa ushirikiano na ndio masna keko magurumbasi uhalifu hauishi.
Hv hizi habari za vigesti uchwara brother anazijua kweli?????
Na je wale vijana wa ajira poetal waliovunjiwa vibanda vyao vya kazi mwananyamala wamehamia huko kwa wingi au????
Kwako ndugu ripota unaweza kuendelea kutupa hali halisi hapo magurumbasi hasa kipindi hiki cha mvua mvua karibu sana
HahahahaNdugu ripota hizo kimya kimya,,,ina maana mnampinga braza na harakati zake?????
😂😂😂😂😂🙌haya bhanaNdio nishakupenda mpaka hapo unajua
Unakufa na ugwadu?Tunamsalimia brother🤣🤣🤣 ameturudisha singo service huku
😂🤣🤣🤣🤣 juct comedy nothing seriouslyUnakufa na ugwadu?
Salamu zimfikieHahahaha
Akafie mbele na stress zake🤣🤣🤣🤣
Eti mwanaume unatumia polisi kupambana na wanawake😅😅😅
Naaam naaaam naam tunakupata ndugu mwandishi na tunakupata hapa studio live bila chenga..Mitambo ni kama ilinitoa hewani , nakupata kwa uzuri hapo studio .
Ni bayana kuwa kwasasa wamehamia hapa keko japo mchana vijana wa ajira portal wanashinda mtaa unaoitwa Toroli maana huko vigesti uchwara vimejazana huko ila kiza kikisha ingia wanasogea magurumbasi kwenye mabar kwa vijana mabwenyenye wanaojilipua kwenye maduka ya wahindi .
Ifahamike kuwa kwa sasa vijana wa ajira portal si kuwa wapo katika nyumba bainika haraka ila ni kuwa inakuhitaji kuwa na uenyeji mpaka kujua kuwa hii nyumba ni maalumu kwa kazi maalumu za vijana wa ajira portal .
Kwako studio.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ndugu ripota vipi mitaa ya pale DDC karibia na TAMECO..Mitambo ni kama ilinitoa hewani , nakupata kwa uzuri hapo studio .
Ni bayana kuwa kwasasa wamehamia hapa keko japo mchana vijana wa ajira portal wanashinda mtaa unaoitwa Toroli maana huko vigesti uchwara vimejazana huko ila kiza kikisha ingia wanasogea magurumbasi kwenye mabar kwa vijana mabwenyenye wanaojilipua kwenye maduka ya wahindi .
Ifahamike kuwa kwa sasa vijana wa ajira portal si kuwa wapo katika nyumba bainika haraka ila ni kuwa inakuhitaji kuwa na uenyeji mpaka kujua kuwa hii nyumba ni maalumu kwa kazi maalumu za vijana wa ajira portal .
Kwako studio.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app