Chalamila yupo sahihi; kuna Bima ya elfu 40. Unajua Mkeo ni mjamzito, huna Pesa. Kata hata hiyo

Kuna umuhimu wa serikali kurudisha kampeni ya uzazi wa mpango(nyota ya kijani) na kusisitiza uzazi wa mpango kwa raia.
 
Hakuna kitu kinaitafuna serikali kama Elimu ya bure hadi fm 6,wanaona aibu tu kuifuta ila inawakosti billions of money kila mwezi kutoa ruzuku,hii kitu walikurupuka.
 
Mkuu ukienda hospital watu wanalia Sana. Gharama za Upasuaji serikali kwenye Mimba na kujifungua sio chini ya 150k Mpaka unatoka sio ajabu ukatoa 200k

Watu wengi wanalia wakati wangekuwa na Bima ingekuwa elfu 40 tuu
Hio bima ingekuwa ni bima kweli usingeona watu wakihangaika na huduma za afya.

Leo hii nenda hospitali yeyote ile unayoijua, fika pale useme una bima uone namna utakavyokuwa treated kama mbuzi. Kwanza mtapangishwa foleni na wahudumu hawajali kuhusu nyie. Unaweza shinda siku nzima uko hospitali kwa ajili ya huduma basic tu. Licha ya yote huwezi kuta vyote viki covered na bima. Kwa sasa bima imekuwa tiketi ya kumuona daktari tu, mengine lazma ulipie tu.
 
Hivi mnataka vitu vya bure alafu mtegemee vifaa hospitalini, logically imekaa Sawa hiyo.

Watanzania wangapi wanalipa Kodi? Au Ndio ninyi mnasema tukinunua vitu ndio tunalipa Kodi?

Watu watoe Kodi wapewe huduma.

Mbona hela za pombe zinapatikana?
Hivi unadhani shida ni kukusanya kodi au shida ni matumizi ya hizo kodi? Hebu fikiria ukoo wenu 70% labda ni diaspora wana miliki uchumi mzuri halafu 30% wako local apeche alolo. Wale 70% wakisema wachange hela ili kuwakomboa hao 30% kisha waliopewa dhamana miongoni mwao wakawa hawasaidii hawa 30% kwa makusudi unadhani wa kulaumiwa ni nani?

Same applies kwa serikali, its proven to lack integrity especially when it comes to revenues. Kila mwezi tunajinadi kukusanya trillion mbili ila mwisho wa kila mwaka unaskia imetoa 700 Billions kununua magari ya anasa. Land cruiser zimekuwa built to last at least 25 years ni gari ngumu na za gharama ila kila baada ya miaka mitatu zinanunuliwa upya. Achilia mbali hilo, kuna udokozi wa hatari kikundi kidogo kimegawana trillion huyu kachukua 500B yule 300B mwengine 100B wengine wamegawana 50B. Hizo ni kodi za wananchi na madeni ambayo watayalipa tu. Mbaya hao jamaa wakishatajwa kesi huwa zinaishia hewani. Nani atakuwa na moyo wa kulipa kodi katika mazingira hayo?
 

Tukilipa Kodi wengi hapa tutakuwa na uchungu wa hii nchi.
Najua pesa ukitoa inavyouma.

Sema watoa Kodi ni Wachache hivyo serikali ni rahisi kuwadhibiti hata wakileta chokochoko.

Moja ya dalili ya sehemu kuna mafisadi ni wananchi wengi kutokulipa kodi
 
Wengi tunalipa indirect tax. Wanaolipa direct tax ni wachache
 
MASKINI LEO WANABAGAZWA MBELE,NYUMA,JUU,KATIKATI.๐Ÿค—๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

MASKINI WANAJIENDEKEZA SANA HIVI KAMA UNAKOSA HATA ELFU HAMSINI UNAZAA ILI UGUNDUE NINI ZAIDI YA KUTAKA KUPATA LAANA BURE YA UZAO WAKO.

KAMA HATA ELFU HAMSINI HUNA BORA URUDI KIJIJINI UKALIME. MJINI HUKO DASLAM UNAISHIJE.NDIMAANA BIASHARA ZA UKAHABA,BAIKOKO WIZI NA UTAPELI ZIMETAMALAKI HUKO MIJINI.


CHALAMILA YUPO SAHIHI WATANZANIA WAJIFUNZE KUBEBA MAJUKUMU YAO.KAMA MTU HUWEZI MAJUKUMU SITISHA KWANZA.HAKUNA SIFA KATIKA KUTESEKA.
 
Robert Heriel Mtibeli
Huenda haujui Umasikini au umekuzwa katika mfumo wa mafanikio acha nikae kimya.
Kama wewe ni maskini hakuna haja ya kuzaliana tafuta kwanza unafuu wa maisha kwa kuweza kujihudumia wewe kwanza kisha ndo ufikiri kuleta kiumbe hapa duniani.

Hakuna justification kwa mtu asiye na uwezo wa kutunza mtoto,alete mtoto ambaye anauwezo wa kuzuia kwa kutumia CONDOM!!!
 
Naunga mkono hoja
 
Huduma za uzazi hazipatikani mpaka uchangie kwa mwaka mmoja kama si miwili, kua na akili.
MIMBA SIO AJALI,ACHENI KUJIENDEKEZA NDIO MAANA MNAAMBIWA MPANGE UZAZI NYIE WAJINGA.

HIVI HUKO SHULE MLIMALIZA KWELI๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Unataka kusema huwezi kupata 50,000/= Kwa miezi 8? Bwashe mimba siyo chafya
Hii nchi wajinga wanataka kujiona wana haki.Yaani mtu akabanjuke kwa mpango wake alafu anataka aje atusumbue kwenye majukumu ambayo ni matokeo ya starehe yake๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Maskini waambiwe ukweli hakuna kitu wanachangia katika hii nchi zaidi ya kunyonya wengine.

Umaskini ndo unapelekea ukahaba,umachinga,udalali,mawinga,majambazi na vibaka,nk.Watu wangekuwa wanaoanga uzazi lawama zingekuwa chache na ajira zingetosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ