Chalamila yupo sahihi; kuna Bima ya elfu 40. Unajua Mkeo ni mjamzito, huna Pesa. Kata hata hiyo

Naungana na Chalamila, ila kama hupiga cha Arusha apunguze.

Kwa hili ameongea ukweli , walio karibu naye mwambieni ipo lita kumi za wain toka Italy akitaka nimtumie
 
Serikali ina cha kuwajibika
Lakini ukiambiwa Bure sio ujue eti ni Bure kama Bure
Tukisema elimu Bure ina maana mwalimu, madarasa, vitabu n. K
Sio tena elimu Bure usizingatie vitu vidogo kama sare, mlo, vitabu, masomo ya ziada, nauli n. K
Ukisikia huduma ya uzazi ni Bure serikali inunue nepi, taulo, beseni, ndio, nyembe, gloves, mwanvuli, uji wa mama, n. K
 
Matajiri wapo nyuma ya Maskini kwenye ulozi.

Maskini wanaloga hata wasiohusika.
Matajiri wao wanaenda kuloga kwa mambo Yao ili wafanikiwe Kupata pesa.

Maskini anaweza kwenda kumloga Mtibeli ati kisa kapost hapa😃
Tuachane na hayo inakuaje gloves ziwe 50k?
 
Kwenye Bure kuna gharama ndio kama hizo za Chalamila
Ni gharama ndogo sana hazihusiani na bima, vitu kama beseni sijui alafu kuhakikisha vitu vya msingi vya kumpokea mtoto mf. nguo kama sehemu ya kuwakumbusha. Kama kutakuwa na complication atabebwa na ambulance kwenda hospital ya rufaa na atatibiwa bure kwa kuwa ameanzia chini ambapo ni bure.

Ila wale wanaokwenda directly hospitali ya rufaa wanahudumiwa ila zinawatoka hela au bima ya Afya hapa ndo inahusika zaidi
 
Sio gloves tu
Hapo Kuna nyembe
Beseni, ndogo, taulo, kanga vipande 3 na vitenge vipande 3, uji na mlo wa kwanza maalumu wa mzazi, n. K
Kwa hiyo beseni na uji na kanga unapewa na doctor hapo hosi kwenye hiyo 50k?
 
Kwani wewe umekua kwa daipers?
Sawa tuweke pampers pembeni kumbuka kuna sabuni na mafuta ya mtoto bila kusahau clinic ya mtoto na lishe bora hivi vyote vinahitaji hela bila kusahau mavazi ya mtoto.
 
Sawa tuweke pampers pembeni kumbuka kuna sabuni na mafuta ya mtoto bila kusahau clinic ya mtoto na lishe bora hivi vyote vinahitaji hela bila kusahau mavazi ya mtoto.
Wewe kwa kua ulikua kwa sabuni na uji wenye sukari unadhani watoto wote wanakua vivo hivyo?
 
Tunakimbilia kuiga iga vitu ili kupata sifa kisiasa wakati uwezo huo hatuna ,haya ni matokeo ya kuwa na viongozi wenye akili ndogo kabisa
 
 
Swali: kwanini walifikiria kuweka bure?
Unazijua sababu za kuweka bure?
Je, Leo zimeisha hizo sababu?

Sababu zilikuwa zisizo na AKILI
Wangesema tuu gharama nafuu Kabisa

Huwezi kutoa bure alafu wewe ni nchi Maskini.

Kitendo cha kusema ni bure kinawabwetesha hata wale wenye uwezo wa Kutafuta pesa na kujihudumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…