Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
we unaogopa kurusha sio,,Rusha unyoya tuu
hakuna alietayr kwa kunyewa hadi na nzi asie na kilo😣😖😖
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we unaogopa kurusha sio,,Rusha unyoya tuu
Ndo ushanyewa hivyo na huna cha kufanyawe unaogopa kurusha sio,,
hakuna alietayr kwa kunyewa hadi na nzi asie na kilo😣😖😖
Kwa hiyo Rais ndio kapandisha?kwahyo tunapotosha vyakula vimepanda bei?
ungekuwa ndg yangu ngekugawa bure😖
Kwani kwa JK ni haramu kwenda? Hivi vichwa vyenu vimejaaavi?Hii ni mbinu ya kwenye kwa JK
Itakuchukua Muda sana kuielewa CCM na watu wake. Kwa sasa hutajuaKwani kwa JK ni haramu kwenda? Hivi vichwa vyenu vimejaaavi?
Very sorry maana hakuna ambacho utafanya kubadili Hali ya mambo iwe unavyopenda.
Kumbe 😁😁😁Itakuchukua Muda sana kuielewa CCM na watu wake. Kwa sasa hutajua
Kati ya habari nchi hii inahitaji kulijadili ni hili la JK.Miji mingine haina maji kwa miaka na miaka, Chalinze inapewa miradi ya maji tangu Mkapa, JK
mbona ana amri kote hili swala linamshinda nini? au,tuandamane katibaKwa hiyo Rais ndio kapandisha?
sisi tutaharishaKwa hiyo Rais ndio kapandisha?
Bei zinapandiahwa na demand vs supply na gharama za mafuta kwa sababu ya Russia vs Ukraine.mbona ana amri kote hili swala linamshinda nini? au,tuandamane katiba
Wewe ni kajinga uliyejaa chuki na wivu 😬😬Mambo mengine ni kuachia wengine wafanye kila kitu Rais inachosha
mpiga debe kaziniBei zinapandiahwa na demand vs supply na gharama za mafuta kwa sababu ya Russia vs Ukraine.
Hutaki hama Nchi,Rais hana huo ujinga wa maigizo ya awamu ya 5.
Mbona unanisemea mm ninae mtaka?mama anaupiga mwingi mnoooohatumtaki mtaani akapunguze bei za vyakula kwanza[emoji57]
Napiga debe au nakuonyesha facts?mpiga debe kazini
Sasa reli na maji vinafanana?Ulitaka uzindue nini?
Juzi Rais wa Turkey alikuwa akizindua reli aliyosaidiwa na Uingereza.
Turkey na Tzn nani ana Umri mkubwa?